Juma Kasim Nature a.k.a kiroboto a.k.a kibra. ....

HAKUNA KULALA
Tunajump kwa juu
huku tunazungumza,kwenye meza mabia tumezungusha ila mradi kujichana,
maharaage sio nyaaaama,
kwa mapele kukunikanika,kukushikashikkaa dada yule kapandisha mizukaa,
na mgongo kupinda pinda,usikubali wakakushindaaa,
kwani wao waweze wana nini hata sisi tushindwe tuna nini.
 
SITAKI DEMU
Nakuomba usije kwetu mamdogo utatia hasara
Uyo mdogo wangu mwenyewe toka atoke shule hajala
Aaah bwana eh usinifate bwana
We si ukalale uwape mbu faida bwana
Hivi aliyekwambia uzime taa humu ndani nani

Kila ukija nyumbani we unaondoka

Kila ukija nyumbani we unaondoka
Nimetokea upande wa pili nmeenda kwa kina bashir
Na usije kwetu hakuna kitenge wala kanga
Shauri ukija wazazi wangu watakuona mwanga

Nakumbuka ile siku ambayo umenisemelea kwa dingi
Ukadai ya kwamba me uwa nachanganya mitungi
Na kwenye kula ganja kilasiku sijivungi
Ukaondoka na cheko nyuma ukaacha kivumbi
Aya sasa unaona mwenzio umeniachia zogo
 
Mjeruhi wa simba wa chui mjeruhi wa mbogo
 
Waswahili wanasema we ukubwa dawa
Sasa mbona kijana mwenzetu leo amepagawa
Wenzake tulimueleza mwenzetu usifate nyendo za swebe
katuona sisi mabwege, kunguni tusiokuwa na dili
Ana madem sitini yamkuni shemeji hatujui yupi
Sisi tunachofanya rafiki zake kumkanya
Akigonga hodi chooni mwenzake kachelewa kufungua kanya, kayajaza
[emoji23]
 
Kijana mtwana,mpana,mvivu wa kufahamu
Haifai kumwita dogo anaonekana mtu wa makamu
Lakini haeleweki bwana we
Mtundu, toto tuntu,tukutu kumsemea usidhubutu atakutoa mtutu
Hana akili timamu chizi anaamua atakalo
Ugomvi wake mayai viza akibadilisha masalo
 
Ugomvi wake mayai viza akibadilisha masalo


Nilikuja kuelewa baadae sana
siku moja kwenye mechi ya chandimu kuna jamaa alimuazishia vagi mtu
nikasikia kuna mtu pembeni ana anatamka "huyo mtu alomchokoza ugomvi wake mayai viza akibadilisha masalo"
akimaanisha kua mtu huyo alomchokoza mkipigana lazima upasuke tu na utoke damu 7bu ugomvi wake yeye panga tu akinyanyua alirudi mpk akupasue
 
Ukisema umuache utakuwa umeidhulumi nafsi,

Yan utajskia vibaya kwanini huyu boss afi, ANANIUZIIIII

ferouz Embu Mwarabie mzee mbona unasitasitaaaaa,
Embu mkate kidafu mzee Au unaomuogopaaaaaa
 
Hili ngoma la masela na wasomi wa vyuo vikuu... kujirusha kila siku sio kila sikukuu zidisha hizo sifa yatakukuta makuu..

Everybody come and dance with meeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…