Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,342
- 88,625
Lini hiyo? Niliporwa simu Friday sijarudisha namba ya voda hewani bado. Baadae ntakucheckMbona nlikualert nipo town, saivi nko maeneo ya posta huku kuna ishu nimekuja kufuatilia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lini hiyo? Niliporwa simu Friday sijarudisha namba ya voda hewani bado. Baadae ntakucheckMbona nlikualert nipo town, saivi nko maeneo ya posta huku kuna ishu nimekuja kufuatilia
Poa poa mkuuLini hiyo? Niliporwa simu Friday sijarudisha namba ya voda hewani bado. Baadae ntakucheck
Ugomvi wake mayai viza akibadilisha masalo
Nilikuja kuelewa baadae sana
siku moja kwenye mechi ya chandimu kuna jamaa alimuazishia vagi mtu
nikasikia kuna mtu pembeni ana anatamka "huyo mtu alomchokoza ugomvi wake mayai viza akibadilisha masalo"
akimaanisha kua mtu huyo alomchokoza mkipigana lazima upasuke tu na utoke damu 7bu ugomvi wake yeye panga tu akinyanyua alirudi mpk akupasue
Kitu gani!Utajiju mimi ni nani na asili ya nchi gani,nikigundua we adui nakumiminia tu gun
Kwani mimi ndio nani wengine hawaoni!!Kila swali darasani naulizwa mimi si bora daftari nkatungie vesi.
Kisa demu hiyo!....hiyo chenji inayobaki mpatie akanunue kuberi
Kisa demu hiyo!Naikumbuka hiyo verse bablai ila nimesahau ni kwenye ngoma gani
Pengine hvyo mkuu inawezekana ikawa hvyo mana hasomeki na maneno yakeKwa akili yangu nilidhani kwamba mtoto iddi akivurugwa anawapiga(kuwarushia) watu mayai viza na masalo(nyanya zilizooza).
Unaitwa hivyo hivyo, unga robo.Nikumbushe jina la ule wimbo wa 'usicheze mbali unga robo'