Juma Kasim Nature a.k.a kiroboto a.k.a kibra. ....

Juma Kasim Nature a.k.a kiroboto a.k.a kibra. ....

Kitu kidogo, kitu kidogo tu dhaifu
 
Kwa akili yangu nilidhani kwamba mtoto iddi akivurugwa anawapiga(kuwarushia) watu mayai viza na masalo(nyanya zilizooza).
Ugomvi wake mayai viza akibadilisha masalo


Nilikuja kuelewa baadae sana
siku moja kwenye mechi ya chandimu kuna jamaa alimuazishia vagi mtu
nikasikia kuna mtu pembeni ana anatamka "huyo mtu alomchokoza ugomvi wake mayai viza akibadilisha masalo"
akimaanisha kua mtu huyo alomchokoza mkipigana lazima upasuke tu na utoke damu 7bu ugomvi wake yeye panga tu akinyanyua alirudi mpk akupasue
 
Ngaizara ndobinyaa yaani za Kichina china
 
Ana kesi za wizi 26,alivyo na bahati mbaya akikwapua tu wanamshika
 
Kwa akili yangu nilidhani kwamba mtoto iddi akivurugwa anawapiga(kuwarushia) watu mayai viza na masalo(nyanya zilizooza).
Pengine hvyo mkuu inawezekana ikawa hvyo mana hasomeki na maneno yake

Sa ingine
"Uwongo mtupu babaake ameliwa waungwana wamempeleka jau mpk kaibiwa"

Hapo kipindi cha karumanzila yupo hot
akiwa na maana kukutana na dhahama ya waganga feki

Inawezekana washikaji n
"Uwongo mtu nimeliwa wamenipeleka jau mpk nikaamini" hvyo ndo maana yake
 
Back
Top Bottom