donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,128
- 21,885
- Thread starter
-
- #61
Pengine hvyo mkuu inawezekana ikawa hvyo mana hasomeki na maneno yake
Sa ingine
"Uwongo mtupu babaake ameliwa waungwana wamempeleka jau mpk kaibiwa"
Hapo kipindi cha karumanzila yupo hot
akiwa na maana kukutana na dhahama ya waganga feki
Inawezekana washikaji n
"Uwongo mtu nimeliwa wamenipeleka jau mpk nikaamini" hvyo ndo maana yake
Kisa demNiambie ni ngoma gani baba la baba
Kisa demNaikumbuka hiyo verse bablai ila nimesahau ni kwenye ngoma gani
Ndo hivyo hivyo unga roboNikumbushe jina la ule wimbo wa 'usicheze mbali unga robo'
Unaitwa hivyo hivyo, unga robo.
Oooh kumbe! AsanteniNdo hivyo hivyo unga robo
Watu walikuwa kama wako kwenye maandamano barabarani,kufika pool side Giza na vurugu mtindo mmoja,.ila lilikuwa bonge la shaziNmekumbuka uzinduzi wa album ya nature na solo pale pool side kilimanjaro iliaribiwa kna vagi ilitokea basi ikawa wa nje anataka kuingia ndani na wa ndani akawa anataka toka nje....ilikuwa tafrani
Ova