Juma Kasim Nature a.k.a kiroboto a.k.a kibra. ....

Juma Kasim Nature a.k.a kiroboto a.k.a kibra. ....

ikidoka iokote isafishe kitu pwani...kwani unadhani, mjuzi nani haijulikani...mchupi mchupi unapwaya malaya malaya ameikanyaga miwayaaa..shauri ya maisha yake ameyatumia vibaya.
 
..iiiyo mibangiii mnayo vutaaa ni stim za kulanduuukaaa...kama si faniii . yakooo kwa kweli uuta umbukaaa!

kijasho kitakushuka..teremka..chemkaaa...

Utmpunguzia nani midhambi isiohesabika?..ushakabaa..ushaiba...ushauaaa!!! kijana ni mtu wa kufanya mambo yasiotakikana....
 
ndi..ndi...ndiri kadigidinginya na ndi..ndi...ndiri kadigidinginyaaa

hii ni ngoma ya wachuja nafaka
 
Ya Leo kali chifu kadokoa ugali anakwenda pale mohamed hussein mpira gooooli maskini ya Mungu Kumbe mpira upo katikati
 
"he huyu vipi?, usoni kapaka jivu hapana sijui ni matope yamejisunda msundo mwanangu mpaka kwenye kope, inafaa tumvutie DOPE..."-JIRANI MTANI ft. Joint mob
 
Ulipigwa denda
Mpaka gari ikagoma kwenda [emoji3][emoji3]
 
"kumbukeni zamani waungwana tulivyopata shida kwa katembo mtu amevimba, kwa akina HUSSEIN kuna msiba, kipindi hicho hospital kuwahi asubuhi asubuhi hata jogoo la kwanza halijaanza kuruka bonanza, unakuta msururu wa watu kutoka upanga mpaka feri, wogonjwa wote wameuchuna wanakutizama kwa kejeli nawakati huo wote Dr. KISUTU hajafika na raizoni zake waungwana mpeni ofa yake, eti alikuwa anaringa AIIII...akishafika pale yule Dr. anaenda kunywa chai, wengine wanakata tamaa Dr. kurudi saa sita (6), wengine hawataki baridi ngiri itawashika......"one of the finest "CCM NA CUF ft. Prof. J.
 
Back
Top Bottom