Pre GE2025 Juma Kassim Ndaruke: Tusicheke na yetote atakayetaka kupunguza kura za Rais Samia 2025

Pre GE2025 Juma Kassim Ndaruke: Tusicheke na yetote atakayetaka kupunguza kura za Rais Samia 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Mweyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Kibiti, Juma Kassim Ndaruke ametoa rai kwa wa Umoja wa Wanawake wa chama hicho Wilayani Kibiti kusimama kidete na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kutafuta kura za Urais kwenye kila eneo la Wilaya Kibiti.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

"Tusije kucheza na mtu yoyote mwenye viashiria vya kutaka kupungua kura za chama cha mapinduzi kwenye maeneo yote, niwaombe sana tusije kudhubutu kucheza na kudharau mipango yoyote itakayoleta viashiria vya kupunguza kura za Dkt. Samia kwenye maeneo tunayongoza, tukiruhusu mipango sisi ndo tutakuwa tumeyahujumu ,twende kwa nguvu kubwa kuhakikisha wilaya ya kibiti inakwenda wilaya kwanza kutafuta kura za mgombea wa urais 2025."

 
Nchi ya mazingaombwe, TAKUKURU wapo, Msajili wa Vyama vya siasa yupo, TISS wapo, mbona kampeni zimeanza mapema na hakuna wa kukemea.
Hivi ni viashiria vya kuwa na uchaguzi wa hovyo. Na viashiria vya mwaka huu havijawahi kutokea tangu kuumbwa kwa taifa hili. Kampeni zimeanza miezi kumi kabla ya uchaguzi.
Eti kuna electral offence katika makosa ya rushwa, kwa hiyo haya hamuyaoni mpaka yafanyike na upinzani ndio sheria itafuata mkondo wake.
 
Mweyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Kibiti, Juma Kassim Ndaruke ametoa rai kwa wa Umoja wa Wanawake wa chama hicho Wilayani Kibiti kusimama kidete na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kutafuta kura za Urais kwenye kila eneo la Wilaya Kibiti.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

"Tusije kucheza na mtu yoyote mwenye viashiria vya kutaka kupungua kura za chama cha mapinduzi kwenye maeneo yote, niwaombe sana tusije kudhubutu kucheza na kudharau mipango yoyote itakayoleta viashiria vya kupunguza kura za Dkt. Samia kwenye maeneo tunayongoza, tukiruhusu mipango sisi ndo tutakuwa tumeyahujumu ,twende kwa nguvu kubwa kuhakikisha wilaya ya kibiti inakwenda wilaya kwanza kutafuta kura za mgombea wa urais 2025."

Kwani zimekadiriwa ziwe ngapi?
 
Aache utapeli wa kijinga, mwenyekiti wa ccm anaweza kutangazwa kwa kura zozote anazotaka bila kujali box la kura linasemaje. Sasa kwa mazingira hayo anahamasisha nini?
 
Back
Top Bottom