mwanamabadiliko
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 938
- 1,540
Huyu juma lokole anafeli sana, ametengeneza kautafiti feki, kinachoonesha makabila 10 yenye wanawake wazuri nchii hii, na kuwaweka nje ya Kumi bora wachaga.
Listi yake
1.Wairaki
2.Warangi
3.Wanyiramba
4.Wamasai
5.Wahaya
6.Wanyaturu
7.Wapare
8. Wamakonde
9.Wasambaa
10. Wanyakyusa
Hii listi ni feki haiwezekani kabila ambalo linashika namba moja kuwa na wanaume watanashati (Handsome) tena wenye pesa wachagga likose.
Kibaiolojia Kama Babá Handsome basi mtoto wake wa Kike atakuwa kisu, na ndio maana kwa mfano mastaa wengi wazuri ni wachaga, na wabaya wabaya ni wa Mbeya.
Lulu,poshqueen,tunda, wolper, etc
Lokole tengeneza listi upya, ni ndoto ya wanawake wengi wa kitanzania kuzaa na mwanaume wa kichaga
Nawasilisha
Listi yake
1.Wairaki
2.Warangi
3.Wanyiramba
4.Wamasai
5.Wahaya
6.Wanyaturu
7.Wapare
8. Wamakonde
9.Wasambaa
10. Wanyakyusa
Hii listi ni feki haiwezekani kabila ambalo linashika namba moja kuwa na wanaume watanashati (Handsome) tena wenye pesa wachagga likose.
Kibaiolojia Kama Babá Handsome basi mtoto wake wa Kike atakuwa kisu, na ndio maana kwa mfano mastaa wengi wazuri ni wachaga, na wabaya wabaya ni wa Mbeya.
Lulu,poshqueen,tunda, wolper, etc
Lokole tengeneza listi upya, ni ndoto ya wanawake wengi wa kitanzania kuzaa na mwanaume wa kichaga
Nawasilisha