Juma Mgunda aibukia Namungo FC, kuanza kibarua na Mnyama Simba SC?

Juma Mgunda aibukia Namungo FC, kuanza kibarua na Mnyama Simba SC?

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Namungo FC imemtangaza rasmi Juma Ramadhan Mgunda, maarufu kama "Gurdiola Mnene," kuwa Kocha Mkuu wa klabu hiyo. Mgunda anachukua nafasi ya Mwinyi Zahera, ambaye sasa atakuwa mshauri wa benchi la ufundi.

Kocha Mgunda atafanya kazi kwa kushirikiana na Ngawina Ngawina na Shedrack Nsajigwa katika benchi la ufundi la Namungo FC.
1729755058550.png
Kibarua chake cha kwanza kama kocha mkuu huwenda kitakuwa dhidi ya Simba Sports Club, mchezo utakaofanyika kesho Ijumaa, Oktoba 25, katika uwanja wa KMC Complex.
1729755125393.png
 
Mmmh, ngoja kwanza nigune. Kuna kitu nataka kusema ila ngoja nimeze mate kwanza.
 
Namungo FC imemtangaza rasmi Juma Ramadhan Mgunda, maarufu kama "Gurdiola Mnene," kuwa Kocha Mkuu wa klabu hiyo. Mgunda anachukua nafasi ya Mwinyi Zahera, ambaye sasa atakuwa mshauri wa benchi la ufundi. Kocha Mgunda atafanya kazi kwa kushirikiana na Ngawina Ngawina na Shedrack Nsajigwa katika benchi la ufundi la Namungo FC.
Kibarua chake cha kwanza kama kocha mkuu kitakuwa dhidi ya Simba Sports Club, mchezo utakaofanyika kesho Ijumaa, Oktoba 25, katika uwanja wa KMC Complex.
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
JamiiForums1222824732.jpeg
 
Namungo FC imemtangaza rasmi Juma Ramadhan Mgunda, maarufu kama "Gurdiola Mnene," kuwa Kocha Mkuu wa klabu hiyo. Mgunda anachukua nafasi ya Mwinyi Zahera, ambaye sasa atakuwa mshauri wa benchi la ufundi. Kocha Mgunda atafanya kazi kwa kushirikiana na Ngawina Ngawina na Shedrack Nsajigwa katika benchi la ufundi la Namungo FC.
Kibarua chake cha kwanza kama kocha mkuu kitakuwa dhidi ya Simba Sports Club, mchezo utakaofanyika kesho Ijumaa, Oktoba 25, katika uwanja wa KMC Complex.
Mgunda ajawai kuifunga Simba tokea awe kocha wa timu yoyote Ile, ata Namungo anaenda kupoteza mbele ya Simba, Mgunda ni mwanachama mwaminifu wa Simba awezi kuchukua point pale zaidi anawasaidia kuzikusanya izo point🤣🤣
 
Lini makocha wa kibongo wataanza kutembea kama jopo kama wanavyofanya wa nje?

Sasa hivi kocha mkuu ana msaidizi wake na kocha wa viungo. Anaweza pia kuwa na Video Analyist. Mkiajiri kocha mkuu, anakuja na wote hao kama package.
 
Back
Top Bottom