kalisheshe
JF-Expert Member
- Mar 19, 2020
- 2,064
- 4,056
Mashabiki wa utopolo na baadhi ya wanasimba oyaoya, jengeni hoja kuanzia hapo, Nimewapa mwongozo wapi muanzie.
Ila mfahamu tu taifa stars ilicheza mechi za kimataifa zinazosimamiwa na CAF ikiwa na Juma Mgunda kama kocha mkuu.
MINOCYCLINE aka shabiki oyaoya pita hapa
Utanishukuru.
kwa hizi akili za watanzania sioni dalili ya taifa kusonga mbele kimaendeleo .
Ila mfahamu tu taifa stars ilicheza mechi za kimataifa zinazosimamiwa na CAF ikiwa na Juma Mgunda kama kocha mkuu.
MINOCYCLINE aka shabiki oyaoya pita hapa
Utanishukuru.
kwa hizi akili za watanzania sioni dalili ya taifa kusonga mbele kimaendeleo .