Juma Mgunda atakuwa mbuzi wa kafara

Juma Mgunda atakuwa mbuzi wa kafara

Benchi limejaa wachezaji wabovu wasiokuwa na msaada wowote kwa timu,...
Kibu, Mkude ,Bocco, Akpan,Kapama,Okwa,na mazombie wengine lazima waondoke Simba..tusajili watu wa kazi....vinginevyo Utopolo ataendelea kutesa
Sure mkuu bench la simba inasikitisha wakati upande wa pili wanaweza kufanya roration hata ya wachezaji watano na bado timu ikawa na balance na kupata matokeo, ila kwa simba ni tatizo hadi kocha haoni wa kuingia

Imagine jana timezidiwa katikati mkude kachoka anakimbia kama konokono lakin kocha anaogopa lawama kumuingiza akapn
 
Sure mkuu bench la simba inasikitisha wakati upande wa pili wanaweza kufanya roration hata ya wachezaji watano na bado timu ikawa na balance na kupata matokeo, ila kwa simba ni tatizo hadi kocha haoni wa kuingia

Imagine jana timezidiwa katikati mkude kachoka anakimbia kama konokono lakin kocha anaogopa lawama kumuingiza akapn
Hata akija Jose Mourinho,kwa benchi tulilonalo hakuna kitu atafanya.....

Lazima panga liwapitie wachezaji wabovu wote, ili kuwe na mabadiliko...
 
Hata Kama ungekua kocha bench wapo akina kibu, akpan, kapama halafu timu imezidiwa unahitaji matokeo utafanyaje??? Mgunda ni bonge la kocha sema tu hana wachezaji em fikiria viongozi wa Simba wanaenda kusajili mzungu.. Hawa way waki serious na kitu wanachofanya kweli??
 
Tumetoa droo makusudi ili wamwachilie Muharamiiii
Duh hizi makusudi za kutoa droo ni nzuri sana.mimi ni utopolo kwa niaba ya utopolo wenzangu tunaomba makusudi zenu mikia ziendelee!!
Mwaka huu kombe letu tayari tena bado mara mbili mikia makolo wakae kimya.
Kimataifa pia tumo na kama si wachezaji kujiangusha Al Hilal tusingetoka klabu bingwa.

Mwaka huu inajulikana watu wenye raha zaidi duniani wanaokula na kushiba na kushangilia Japan ni wananchi!!
Makolo wana hasira na matusi tu for no
 
Itabidi uache hiyo tabia.
Soka halitabiriki ukiripoka unaweza tafuta pa kujificha siku moja.
Mimi mla mihogo lakini navizia vya kusema au kuwananga Makolo.
Hee mbona huwa naongea yanayohus Simba na wala siwezi kuyabadilisha
 
Back
Top Bottom