Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
- Thread starter
- #21
Ni shida kubwa sana kwa mwenye akili kuwa katikati ya Wapunguani.Kuna muda bora usiongee kuliko kuonyesha ujinga uliotukuka yani watu wengi ni wajinga na hawana akili. Ni kama wanashindana na TFF hivi kweli taasisi kama hyo isijue kuwa Juma hana leseni na uongozi wa Simba wenye wasomi isjue hilo bado watu wana andika ujinga ujinga tuu.
Hata hata hapa JF kuna watu nilikuwa nawaamini lakini kumbe hata wao wapo na mihemko ya wachambuzi wa hovyo hovyo ambao lengo ni upotoshaji tu.