Juma Mgunda sio kocha mzuri kwenye mbinu hivyo ni sahihi Simba kuleta kocha mwingine

Juma Mgunda sio kocha mzuri kwenye mbinu hivyo ni sahihi Simba kuleta kocha mwingine

Kumekucha! Kama Mgunda siyo kocha mzuri kwenye mbinu, maana yake hata zile goli 7 mlizoshinda dhidi ya Prisons atakuwa alibahatisha tu! Au zilikuwa ni juhudi binafsi za wachezaji.
 
Kumekucha! Kama Mgunda siyo kocha mzuri kwenye mbinu, maana yake hata zile goli 7 mlizoshinda dhidi ya Prisons atakuwa alibahatisha tu! Au zilikuwa ni juhudi binafsi za wachezaji.
Mkuu Mgunda sio tactical coach, simba kwa sasa wana hamasa kubwa lakini sio mbinu ndio maana kila tukikutana na timu zenye waalimu wenye mbinu tunaishia sare.

Kupitia hamasa tumeweza kuzifunga timu kadhaa magoli mengi lakini hiyo haiwezi kutusaidia tukikutana na timu za Cafcc.
 
Back
Top Bottom