Juma nature atimuliwa kwenye intavyuu ya eatv

Juma nature atimuliwa kwenye intavyuu ya eatv

Mkare_wenu

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2011
Posts
1,714
Reaction score
448
Hii imetokea dakika chache zilizopita baada ya kuingia kwenye intavyuu ya FNL amelewa,pia amevaa singlend na ndala.

<NB>
Ni aibu kwa msanii mkubwa kama yeye kuingia kwenye intavyuu akiwa katika hali ile,nilikuwa nahisi hata aibu jinsi alivyokuwa anajibu maswali ya Misago yaani lazima atakuwa alipiga viroba vya kutosha + bangi.
 
Back
Top Bottom