Mkare_wenu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2011
- 1,714
- 448
Hii imetokea dakika chache zilizopita baada ya kuingia kwenye intavyuu ya FNL amelewa,pia amevaa singlend na ndala.
<NB>
Ni aibu kwa msanii mkubwa kama yeye kuingia kwenye intavyuu akiwa katika hali ile,nilikuwa nahisi hata aibu jinsi alivyokuwa anajibu maswali ya Misago yaani lazima atakuwa alipiga viroba vya kutosha + bangi.
<NB>
Ni aibu kwa msanii mkubwa kama yeye kuingia kwenye intavyuu akiwa katika hali ile,nilikuwa nahisi hata aibu jinsi alivyokuwa anajibu maswali ya Misago yaani lazima atakuwa alipiga viroba vya kutosha + bangi.