jitahidi kuuangalia mara nyingi tufikishe viewers milioni mojaMdada anajua kuchana niliuangalia jana nikafurahia mdada, isipokua juma ametuletea yale mambo ya zamani ya kusimulia maisha na kuuliza maswali yasiyoendana na maudhui ya wimbo.
Beat ilikua poa, msichana aliye na juma kama video queen ni kama hana uzoefu au chemistry yao haijawa poa. Quality ya video, mandhari ni shit.
Mnhh...Mdada anajua kuchana niliuangalia jana nikafurahia mdada, isipokua juma ametuletea yale mambo ya zamani ya kusimulia maisha na kuuliza maswali yasiyoendana na maudhui ya wimbo.
Beat ilikua poa, msichana aliye na juma kama video queen ni kama hana uzoefu au chemistry yao haijawa poa. Quality ya video, mandhari ni shit.
Ccm ni noma yaani mtu anawadai wakampa maji madogo ya Kilimanjaro anyweMnhh...
Come again!!?
Hawawezi mjua huyu mzungu muhuni... wameanza kuangalia video director mkali hanscana sisi tunamjua AJ Next level... dahSaanaa..
Huyo jamaa aloimba kionjo anajiita 'mzungu kichaa'.. Watoto wa enzi hizi za kiki hawawezi mjua..haha...
Yeah ni kweli, lakini unajiskiaje pale X wako mliependana sana anapokuambia mrudiane...?Mdada anajua kuchana niliuangalia jana nikafurahia mdada, isipokua juma ametuletea yale mambo ya zamani ya kusimulia maisha na kuuliza maswali yasiyoendana na maudhui ya wimbo.
Beat ilikua poa, msichana aliye na juma kama video queen ni kama hana uzoefu au chemistry yao haijawa poa. Quality ya video, mandhari ni shit.
Hit and run. Ndiyo nilichofanya kwenye huu wimbo pia, sikurudia kuusikilizaYeah ni kweli, lakini unajiskiaje pale X wako mliependana sana anapokuambia mrudiane...?