Wick
JF-Expert Member
- Dec 19, 2012
- 8,313
- 12,170
Hahaha.. Juma Kassim.. Kirobotooo.. Mgambo .. Malcom Lumumba [HASHTAG]#Unayumba[/HASHTAG] kama hujaisikiliza na [HASHTAG]#Nadhani[/HASHTAG]..Hahahahahahahahha!
Jumaaaaa, Jumaaaa, Jumaaaa welcome back,
Mhhhh, ila huyu dada anajua sana, anaweza kuchana na kuimba (Rare Talent)
Palantir uje huku bwana,,,
Jamaa kaamua kurudi!, watoto wamvumilie tu hakuna namna!..