Juma Njemba: Sangoma aliyeishi maisha ya peponi akiwa duniani

Ebu tuambie mkuu alikwambiaje
 
Unasema yasiyo kweli, mjukuu wa kwanza wa Mzee Juma anaitwa Mahmudu anaishi Dar Es salaam. No dereva wa gari za ujenzi.
My point is mjukuu alie rithishwa mkoba wa Juma Njemba anaitwa Said na yeye alifariki wiki kadhaa baada ya arobaini ya Juma Njemba...
 
Mkuu ukipata muda fatilia pia habari ya BITI RUKUNGU! Huyo alikuwa gwiji hatareee pia.
 
Bila kuroga duniani utapata pesa ya kula tu ndogo ndogo na kila biashara utakayofanya utaishia kupata hasara hata kama hiyo biashara uliifanyia utafiti wa kina na tathmin miaka 1000 bado utaishia hasara. Mshana jr njoo uwarlekeze pesa nyeusi ikoje.
 
Utakuwa mwafilosofia wewe bila shaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…