Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Anzisha uzi wako mkuuHukufanya tafiti juu ya Mzee huyu nitarudi kuelezea juu ya habari zake kuliko kuendelea kupotosha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anzisha uzi wako mkuuHukufanya tafiti juu ya Mzee huyu nitarudi kuelezea juu ya habari zake kuliko kuendelea kupotosha
Mwaka 2001 huo nikiwa naishi kibondo,kuna siku nikatumwa kwenda kasulu kutoa photocopy na kuprint document za ofisini.nilikuwa toyota landcruza GX za UN kama mnakumbuka kipindi hicho kulikuwa bado na wakimbizi kwenye makambi kama nyarugusu.
Asubuhi mapema nikaondoka nikiwa na jamaa mwingine.
Kufika kasulu nikanunua na mananasi ya kutosha waliopo kipande hio watajua.mwidiweee salam niliipata sana wakati narudi.
Kufika njiani nikamkuta jamaa flani huwa namuona sana pale mjini kibondo akiwa peke yake porini!nikasimama ili nimpe lift akagoma.
Anyway mi nakachapa mwendo barabara ilikuwa rafu rodi lakini kwa GX nilitembea hadi spidi 140.
Kufika kibondo namkuta jamaa kafika kitambo anakunywa kahawa anacheza draft.sikuamini ilibidi nimtafute anieleze alifikaje kabla ya gari na hakukuwa na gari lilinipita njia??!!mambo aliyoniambia hadi siyaamini
Ile wakanda ni kwa watu spesho!.. Sasa nyie hadi mbunge wenu anajisifu wazi, wazee wa mwisho wa reli.
Nyantuzu class!!..
Kwanini eeh kumbe!?.
My point is mjukuu alie rithishwa mkoba wa Juma Njemba anaitwa Said na yeye alifariki wiki kadhaa baada ya arobaini ya Juma Njemba...Unasema yasiyo kweli, mjukuu wa kwanza wa Mzee Juma anaitwa Mahmudu anaishi Dar Es salaam. No dereva wa gari za ujenzi.
Kijana unazid kuchefua.Tapika
Mnatuchanganya nyieKijana unazid kuchefua.
Vipi kama utaukimbia uzi huu kwa aibu?
Mkuu ukipata muda fatilia pia habari ya BITI RUKUNGU! Huyo alikuwa gwiji hatareee pia.Kuanzia katikati ya miaka ya themanini hadi mwanzoni mwa miaka ya 2000 huko mkoani Kigoma aliishi " fundi " mmoja aliye julikana kwa jina la Juma Njemba.
Juma Njemba alikuwa MTU hatari sana katika masuala ya ulozi na alijikita zaidi katika kazi ya kuua watu kwa uchawi.
Huuu wa kwako??si mngendikia Chumbani kwenuAnzisha uzi wako mkuu
I tell him but you better tell him too.Tell him ..Anataka kuharibu mjadala wakati watu wanataka nondo
Utakuwa mwafilosofia wewe bila shakaKuna fasihi kali sana ndani ya hiki kisa Sky, yaelekea kuna Juma Njemba aneishi sasa hivi akichukua mabinti za watu(wengine sijui ni wake za watu!?) na kuwawowa huku wazazi wao au waume zao wakiufyata maana wakiinua sauti kulalamika wanapotezwa
Kwamba kifo cha Juma Njemba tunaeishi nae kitafurahiwa sana na watu kwa kufanya sherehe tena hasa na hao hao wanaojifanya kujinyenyekeza kwake na kijipendekeza kwa kumlamba miguu huku mioyoni mwao hawamkubali yeye na kazi zake za ulozi