The Transporter
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 3,580
- 7,203
Huna unaemjua katika familia ya mzee huyo. Waal huyo mzee hajawahi kufiwa na mjukuu wake aliyerithi Kazi zake, wala hukuwahi kumfahamu kwa yakini na hakikaNinaemjua alikufa ..hao unao wasema labda walikuwa " wahemba" wanafunzi wake
Angalao kapicha basi, akipita sokoni...
Wala hukuwahi kumfahamu wala wajih wake huujui, wala Kazi zake huzijui wala hukuwahi kuzungumza nae.mimi niluwahi kwenda kwa huyo mzee lakini niliogopa kumalizia zindiko la milango saba ya ziwa tanganyika, nikaondoka kwa kutoroka tukiwa mlango wa tatu , nadhani umenikumbusha mbali mno wala hujakosea kitu.
Hujawahi kusoma na mwanae yeyote na popote wanae si watu wa aina ya kujikweza na ni watu wenye kuheshimiwa sana.Nilisoma na mtoto wake alikuwa anawati
shia watoto wakike hatar walikuwa wanamuogopa
Sio mkweli nawe!! Licha ya kuwa kwake kulikuwa Ujiji lakini hakuwa mwenye ziara za huko, Miaka yake Kagera alikuwa akituma watu tu.Umenikumbusha mbali sana kuna siku nilikutana naye mitaa ya ujiji kagera pale niliruka nyumba moja ya nyasi hivi speed 120km/hr
Huu nao ni aina ya uongo mkubwa. Alikuwa hadi Bure akiwatumikia watu, na Zaidi wakileta pungufu huwasameheAnajuaje kama ataenda mbinguni au peponi??? But anyway jamaa alifanya mambo mengi sana yasiyompendeza Mungu kwa kweli.........
Na jamaa naskia kweny kazi yake alikua hapokei hela yako mpka uone matokeo....sasa ww akufanikishie mchongo afu usimlipe....weeeeeeeee anasomba nusu ya ukoo wako
Ahsante sana!Umenitia kinyaa uliposema "..aliogopwa kama Mungu..." nani wa kufanana na Mungu?
Kiukweli katika dua na maombi alijaaliwa sana. Wapo watu waliokuwa wakiwanyanyasa wafanyakazi wageni waliohamishiwa kikazi Kigoma, engine kwa ukirsto wao au kwa ugeni wao. Yeye aliwaita hao ni wanae, aliwatetea mno, kuanzia wakuu wa mikoa, wakuu wa polis, uhamiaji nk.Juma Njemba hakuwa wa dunia hii...He was something else
Lazima utakuwa hujaokokaHilo zindiko ni hatari sana linahitaji ujasiri wa hali ya juu..Alikuwaga pia na zindiko la kumzika MTU kaburini, MTU kupikwa kwenye pipa pamoja na Yale ya " kusafiri" kwenda kuzimu kama lile lililo muua Joseph Kabasele
Huyu wa viboxMh! Ni juma njemba yupi?
Mtoa mada hamjui kabisa huyo mtu.Nilipofika Kigoma; story zake nilizipata.
Aliogopwa zaidi ya baba wa taifa.
Mtoa mada tiririka tuzijue zaidi.
Hahaha hahaha hapa nimecheka, Kuna kweli na chumvi kwenye hii story lakini Kuna kitu umesema kweliNakumbuka visa viwil vya huyu bwana wakati nipo kigoma ni pale alipomtuma mwanake akanunue migebuka soko la buzeba zeba then askari wakamkamata kwa uzururaji,mzee baada ya kuskia akamfata RPC,nakumbuka alikwa ni mgeni but mjeda kufika tu ofisini akaliweka koti lake kwenye ukuta bila kuwepo na msumari then akamwambia nmekuletea kapu langu hil ukaninunulie mboga maana nnayemtuma mmemkamata,ndani ya 20minutes dogo aliachiwa na kupelekwa na escort ya polisi sokoni hadi kwao
Ubunifu huo hamna ukweli hapoJamaa alikuwa hatari sana kuna binti mmoja kwao wameshika sana dini siku moja alikutana na Juma Njemba.Juma Njemba alikuwa amekaa nyuma ya nyumba anakula chungwa sasa alipomuona Yule binti akamtania "Mtoto karibu kipande cha chungwa " mtoto akajibu " siwezi kula kitu chochote kutoka kwako kwa sababu baba etu ametukataza anasema tusile kwako wala chochote kutoka kwako " Juma Njemba alicheka kwa hasira halafu akamwambia Yule binti " Yani baba ako ndio amekwambia hivyo? Basi nenda kamwambie hivi Mimi Juma Njemba ninasema hivi kesho afakufa na siku ya mazishi yake ifanyesha mvua kubwa sana ..Baba ake na Yule binti alizikwa kesho yake
Uwongo mkubwaKisa chake cha mwisho huyu bwana alishawahi kumpa mimba mkuu fulani kigoma tena mwanaume baada ya kwenda kumkatia nyanya zake kule ziwa tanganyika rutale,huyo ndo juma njema kiumbe aliyetisha kwa uchawi lakini na yeye akafa kama wengine,kaburi lake ilikuwa kila likichimbwa linajaa maji mpka wakaamua wamzike hivyo hvyo kwenye maji
Mh! Hakuzaliwa akiwa na ndugu wa kike, nduguze wore wa kiumeJuma Njemba alikuwa mjomba wangu...wanashare mama na mama yangu
Hahahahahahaha!!!LIKUD hiyo ya kufa na hiyo ya kupikwa kwenye pipa alifanyiwa zzk hadi leo ndio maana anajiamini yule mtoto , na ukicheza na zitto kwenye mila anakuondoa , yule dogo alifaidi dawa zile wengine tulishtuka alishakufa.
Huyo aliitwa Bint Rukungu.Na yule bibi aliyekufa misukule ikawa inatoka nje kufata maiti
Jina nimesahau kitu kama nyarukungu, yule wa rubuga