Juma Njemba: Sangoma aliyeishi maisha ya peponi akiwa duniani

Juma Njemba: Sangoma aliyeishi maisha ya peponi akiwa duniani

Angalao kapicha basi, akipita sokoni...
20180803_142101.jpg
 
mimi niluwahi kwenda kwa huyo mzee lakini niliogopa kumalizia zindiko la milango saba ya ziwa tanganyika, nikaondoka kwa kutoroka tukiwa mlango wa tatu , nadhani umenikumbusha mbali mno wala hujakosea kitu.
Wala hukuwahi kumfahamu wala wajih wake huujui, wala Kazi zake huzijui wala hukuwahi kuzungumza nae.

Na ikiwa ni hivyo elezea nyumbani kwake kulivyo na namna wageni walivyokuwa wanakaribishwa.

Iwapo we're ni mkweli tufahamishe Kazi zake zilikuwa zinafanywa wapi na nani akizisimamia.
 
Anajuaje kama ataenda mbinguni au peponi??? But anyway jamaa alifanya mambo mengi sana yasiyompendeza Mungu kwa kweli.........

Na jamaa naskia kweny kazi yake alikua hapokei hela yako mpka uone matokeo....sasa ww akufanikishie mchongo afu usimlipe....weeeeeeeee anasomba nusu ya ukoo wako
Huu nao ni aina ya uongo mkubwa. Alikuwa hadi Bure akiwatumikia watu, na Zaidi wakileta pungufu huwasamehe
 
Juma Njemba hakuwa wa dunia hii...He was something else
Kiukweli katika dua na maombi alijaaliwa sana. Wapo watu waliokuwa wakiwanyanyasa wafanyakazi wageni waliohamishiwa kikazi Kigoma, engine kwa ukirsto wao au kwa ugeni wao. Yeye aliwaita hao ni wanae, aliwatetea mno, kuanzia wakuu wa mikoa, wakuu wa polis, uhamiaji nk.

Hakuna aliyethubutu kumuonea mtu kwa sababu ya ukristo wake eti kwa kuwa miaka ile Ujiji ilikuwa na waislam wengi.

Na hakuna muislam aliyeonewa kwa dino yake au uswahili wake. Leo aitwa Sangoma huyu.

Kaishi vema na Padre Yusuf wa parokia ya Kusini Katubuka. Na kawatetea wakristo chungu tele. Hakuna haki ya kuwanyanyasa akisema " hawa ni watoto wetu, Mungu hana dini, binadamu ndio tuna dini" dini ni njia ya kufika kwake Mungu.
 
Hilo zindiko ni hatari sana linahitaji ujasiri wa hali ya juu..Alikuwaga pia na zindiko la kumzika MTU kaburini, MTU kupikwa kwenye pipa pamoja na Yale ya " kusafiri" kwenda kuzimu kama lile lililo muua Joseph Kabasele
Lazima utakuwa hujaokoka
 
Nakumbuka visa viwil vya huyu bwana wakati nipo kigoma ni pale alipomtuma mwanake akanunue migebuka soko la buzeba zeba then askari wakamkamata kwa uzururaji,mzee baada ya kuskia akamfata RPC,nakumbuka alikwa ni mgeni but mjeda kufika tu ofisini akaliweka koti lake kwenye ukuta bila kuwepo na msumari then akamwambia nmekuletea kapu langu hil ukaninunulie mboga maana nnayemtuma mmemkamata,ndani ya 20minutes dogo aliachiwa na kupelekwa na escort ya polisi sokoni hadi kwao
Hahaha hahaha hapa nimecheka, Kuna kweli na chumvi kwenye hii story lakini Kuna kitu umesema kweli
 
Jamaa alikuwa hatari sana kuna binti mmoja kwao wameshika sana dini siku moja alikutana na Juma Njemba.Juma Njemba alikuwa amekaa nyuma ya nyumba anakula chungwa sasa alipomuona Yule binti akamtania "Mtoto karibu kipande cha chungwa " mtoto akajibu " siwezi kula kitu chochote kutoka kwako kwa sababu baba etu ametukataza anasema tusile kwako wala chochote kutoka kwako " Juma Njemba alicheka kwa hasira halafu akamwambia Yule binti " Yani baba ako ndio amekwambia hivyo? Basi nenda kamwambie hivi Mimi Juma Njemba ninasema hivi kesho afakufa na siku ya mazishi yake ifanyesha mvua kubwa sana ..Baba ake na Yule binti alizikwa kesho yake
Ubunifu huo hamna ukweli hapo
 
Kisa chake cha mwisho huyu bwana alishawahi kumpa mimba mkuu fulani kigoma tena mwanaume baada ya kwenda kumkatia nyanya zake kule ziwa tanganyika rutale,huyo ndo juma njema kiumbe aliyetisha kwa uchawi lakini na yeye akafa kama wengine,kaburi lake ilikuwa kila likichimbwa linajaa maji mpka wakaamua wamzike hivyo hvyo kwenye maji
Uwongo mkubwa
 
LIKUD hiyo ya kufa na hiyo ya kupikwa kwenye pipa alifanyiwa zzk hadi leo ndio maana anajiamini yule mtoto , na ukicheza na zitto kwenye mila anakuondoa , yule dogo alifaidi dawa zile wengine tulishtuka alishakufa.
Hahahahahahaha!!!
Hakika alituacha vizuri watu wa Kigoma sio kwa style hizo za kitoto. Bali Zaidi ya hapo
 
Back
Top Bottom