Juma Njemba: Sangoma aliyeishi maisha ya peponi akiwa duniani

Unataka atajwe kwa sifa asizo nazo kisa hawezi kujitetea nazo
 

Wewe ndio unajichanganya, umekiri indirect kuwa "wakti zikiletwa malipo pungufu'. Kumbuka zikiletwa ni ama kwangu ama kwetu. Zikipelekwa ni ama kwake ama kwao. Kwahiyo, kujifumbua huku ni kwa bahati mbaya umekufanya bila kuwa ulikusudia. Hivyo usikanushe kuwa hujasema wewe ni sehemu ya uhusika wa famillia ila endelea kujitahdi kuruka!

Swala la tarehe ni no excuse, limekufanya kulitia doa andiko lako, maana ni key issue ya mjadala huu, na pia inafanya tuzidi kuamni maelezo ya mtoa mada.

Kuna member mmoja humu amekiri kuwa mteja wa huyo mzee, na kwamba alitoroka kabla ya kumaliza dozi. Anakiri maelezo ya mleta mada ni ya kweli na kuwa, ni kweli kuwa Njemba alikuwa specialist wa kuuwa. Sasa embu jiulize alikuwa na wateja wangapi kwa siku kutoka kila kona nchini na nje ya mipaka? Chukua hio idadi kwa siku, kisha ifanye mara miaka aliofanya hio kazi....hivi huoni kuwa mleta mada naye anaweza awe amepunguza idadi?
Kauli yako, the way unatetea, ni kama kutakuwa na revenji kwa familia yake juu ya vifo vyoote hivyo. Ila hii hofu ondoa, sidhani kama kuna mtu atafanya hivyo

Unaweza ututajie tena tarehe ya kifo chake, na tarehe ya kuzikwa kwake ulizofanyia mabadiliko?
 
Na waogope Sana watu wanaopewa third hand information kisha wakazifanyia kazi
 
Ngumu kuverify si yupo likud aliyesema alikuwa na wake 200
 
LIKUD uzi wetu umevamiwa kwa mimi niliewahi kua mteja wa juma njemba na akina mzee k , na nilivopata kuwafahamu akina said marehem na ibrahim naomba msibishe.
Uliulizwa amefanyia wapi shughuli zake ulikimbilia porini
 

Wakigoma mpo?
 
Leta stori zaidi,tunasubiri kwa hamu kumjua Njemba
 
Hiii ndio species ya lwama kweli hakutoki bwege

Unaandika kimbuji mno kwa wenye akili nyembamba si rahisi kukuelewa
 
Nakufahamisha tena na tena!!
Ukimgusa mzee huyo umeugusa mtaa alioishi na jamii yake. Hivyo mimi ni sehemu ya watu wa mtaa huo. Sipingi kuwa hivyo

"zikiletwa" inategemea wakati huo nilikuwa upande gani, nipo mtaani kwangu na waletaji wameleta hapo. Nawezaje kusema "zikipelekwa"??

Kuhusu mjadala huu key point yake haiwezi kuwa tarehe ya kifo, kwa kuwa hatukupishana katika suala tarehe ya kufa kwake. Bali mwaka wa kufa kwake. Yeye alisema 2001 na mimi nilisema 2007. Yupo aliyesema pia 2007. Hivyo ukijustfy hapo utagundua nani alisema uongo.

Iwapo njema alikuwa specialist wa kuuwa ushahidi unatoka wapi?? Kuwa kuna "specialisation" hiyo. Bado ndugu yangu kaweka namba ithibati ya idadi hiyo ikiwa pungufu au kamili unaipataje? Lazima ukiwa timamu utatambua kuwa ni ubunifu.

Njemba aliyeishi Kama mtu wa peponi hata baiskeli hakuwa nayo, pepo ya daraja gani?

Lakini Zaidi ni idadi ya wake zake 200 kwa ushahidi upi?? Haya ni mazingaombwe tu. Na katika kauli zangu bado silazimishi yeyote akubali ninachoandika Kama nisivyokubali uongo wowote unaoandikwa dhidi ya mzee yule
 
Wewe ni fasaha wa kuandika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…