Mchawi hawezi kuwa tajiriWachawi alafu familia zao huwa za kimaskini sana ingawa zilipendelewa na wakoloni.
Una akili nyingi sana.Mchawi hawezi kuwa tajiri
Utakuwa wa kizazi cha wachawi kumbe unayajua yote hayaMchawi hawezi kuwa tajiri
HahahaahahahahahahUtakuwa wa kizazi cha wachawi kumbe unayajua yote haya
Ila kuna matajiri wachawii wanatoa watoto au wake makafara au kuwafanya mazezetaMchawi hawezi kuwa tajiri
Shehe yahya aliishije?Una akili nyingi sana.
Iwapo Juma Njemba alikuwa mchawi huo utajiri na kuishi Kama yupo peponi ulitokea wapi???????
Njia hata ifichwe na miba itabaki kuwa njia tu
Alikuwa Muhammad na masihi lakini hawakuwa wakwasi Kama Suleiman je nao walikuwa wachawiHahahaahahahahahah
wewe tena " nimeshayaona manyoya aiseeNakimbiza mwenge kimya kimya... Kaa pembeni mchawi wewe alaaah 😀.
hahaa '' raha thana[emoji23] [emoji3] yaani wewe!
[emoji3][emoji16][emoji23]ndo maana endeleeni kutetea mushriki tu!Utakuwa wa kizazi cha wachawi kumbe unayajua yote haya
Nakufahamisha tena na tena!!
Ukimgusa mzee huyo umeugusa mtaa alioishi na jamii yake. Hivyo mimi ni sehemu ya watu wa mtaa huo. Sipingi kuwa hivyo
"zikiletwa" inategemea wakati huo nilikuwa upande gani, nipo mtaani kwangu na waletaji wameleta hapo. Nawezaje kusema "zikipelekwa"??
Kuhusu mjadala huu key point yake haiwezi kuwa tarehe ya kifo, kwa kuwa hatukupishana katika suala tarehe ya kufa kwake. Bali mwaka wa kufa kwake. Yeye alisema 2001 na mimi nilisema 2007. Yupo aliyesema pia 2007. Hivyo ukijustfy hapo utagundua nani alisema uongo.
Iwapo njema alikuwa specialist wa kuuwa ushahidi unatoka wapi?? Kuwa kuna "specialisation" hiyo. Bado ndugu yangu kaweka namba ithibati ya idadi hiyo ikiwa pungufu au kamili unaipataje? Lazima ukiwa timamu utatambua kuwa ni ubunifu.
Njemba aliyeishi Kama mtu wa peponi hata baiskeli hakuwa nayo, pepo ya daraja gani?
Lakini Zaidi ni idadi ya wake zake 200 kwa ushahidi upi?? Haya ni mazingaombwe tu. Na katika kauli zangu bado silazimishi yeyote akubali ninachoandika Kama nisivyokubali uongo wowote unaoandikwa dhidi ya mzee yule
ndo huyo mwanae mwandishiWewe ni fasaha wa kuandika
agiza mbili kwa bili yangu😛ndo huyo mwanae mwandishi
Inawezekana kabisa.ndo huyo mwanae mwandishi
Inakuwaje mtakatifu anapokufa watu washangilie?Inawezekana kabisa.
Umeona mdau hapo juu anakwambia hata msikitini kilipotangazwa kifo chake ilikuwa shangwe kama 'yote' vile !
Kwa mtindo wako nacheka. Maana ili uelewe lazima uanze kusoma komenti yangu ya kwanza mpaka hii ninayoandika. Ili dhana zako zirekebike.Issue ya neno "kuletwa" wenye mamlaka ya kulisemea hilo ni familia yake kabisa. Sio issue ya mtaani kwao, maana sina hakika wote waliokuwa mtaani kwake walikuwa wakishuhudia kila alichikifanya na wateja wake. Kwahiyo, haikuondoi wewe kukiri kuwa ni mmoja wa wana familia ya huyo mzee, na zaidi yayote vile una jitahidi kutaja member wafamilia yake.
Katka tarehe yake ya kufa na kuzikwa, na wewe ungeishia kuutaja mwaka tu, basi tusingalifikia kuhoji huku kote na kugundua mawaa. Kwani ni wapi imeandikwa hadi tuandikishiane issue ya tareh yake ya kufa kuwa ni msingi? Lakn kwa namna ulivyojitanabaisha, haiwezekani ukakaosea tarehe ya kufa wala kuzikwa hata kama ungekuwa unaishi mtaa mmoja.
Hata ukisema Njemba alikuwa malaika au ni mdogo wake Mungu, lakini hujasema ni kwanini aliogopwa hivyo? Kweli mtu wa Mungu aogpwe hivyo kwanini, badala ya kuwa kimbilio?
InashangazaaaInakuwaje mtakatifu anapokufa watu washangilie?
Wewe utusaidie kazikiwa wapiJuma Njemba alikua ni zaidi ya mchawi na sidhani km kuna kiumbe wa level yake kwass hapa Tz,,tukiwa wadogo tulikua tunapita nje ya nyumba yake kwa kukimbia kwa hofu yake tu.
Tukiwa shule enzi hizo mtu akikuibia hata kalamu unampiga beat naenda kwa Juma Njemba anarudisha faster.
Na siku alokufa msiba wake ulitangazwa baadhi ya misikiti kgm ujiji kiukweli watu walifurahi baada ya kuhuzunika.
In short Juma Njemba alikua ni zaidi ya Juma Njemba