Mbona jibu lishapatikana hata kabla ya zoezi!Hapa cha msingi iwekwe Poll, kisha wazawa wa Ujiji Kigoma na wengine waliowahi kufanya miamala na Juma Njemba wa'vote' kati ya sifa mbili: MWEMA / MCHAWI
Kwani braza njemba yeye alitumia UPI?Mi uchawi naotumia unatoka Ur of the Chaldeans. Mshana Jr anaujua..Maana hata uchawi wa kilebanenga hautii maguu
Mtajie mwenzako anataka kwenda kuhiji kwenye kabauri lakeUna sh ngapi nikwambie?
Wwe nae sio wa hivi hivi,hiyo ICBM iliijuaje sasaWacha urongo..Juma Njemba alifariki mwaka 2001 na alikufa kwa kiharusi cha kisheitwani...Chanzo cha kifo chake ni kuzidiana nguvu kati ya uchawi wake na kinga ya MTU ambae Juma Njemba alitaka kumuua kwa uchawi.
Kombora alilo piga Juma Njemba kwenda kumuua MTU huyo liligonga mwamba na kumrudia yeye mwenyewe na siku kadhaa baadae alifariki dunia...Unataka nifunguke zaidi what happened ?
Juma Njemba alipigwa Back To Sender
Na akitaka tumfate labda malipo yawe baada ya tukioHuyo AbuFizzer anataka kulaghai watu mkuu... Juma Njemba hana mrithi YOYOTE wa kazi zake...Be warned in advance
Aiseeh!ila na wao si wamekufa Piaa!Africa bwanaa!juma njemba? hahahahahhaa alikuwa na balaa si kitoto, wanao bisha waendelee kubisha, yupo mtalaamu mwingine anatokea mwakizega alikuwa ana balaa si masikhara, yupo binti rukungu. wapo weeengi. kuna mzee mmoja nmesahau jina lake yeye alikuwa akikunyooshea kidole basi nenda kaandike urithi kabisa, alikuwa anakunja vidole vya mikono yake yote, akivinyoosha vyoote ujue watu watano wameondoka, kula yake ilikuwa ndani tu baada ya kujizindua. wapo wale wazee wa mwamgongo na mwambao wa ziwa walikuwa na hatari si kitoto....
si vyema kuyazungumzia haya coz hayajengi
Hahaaa!hatari hii kaah!Wewe utusaidie kazikiwa wapi
Aliiishi wapi
Alikuwa na wake wangapi
Amekufa lini
Aiseeh! Huyo alikua zaidi ya binadamu!!Mara siku moja akaja mzee wa heshima zake kapigilia kanzu na kofia ktk meza ya mama mmoja aliyekuwa akijishugulisha na kuuza samaki soko kubwa Ujiji. Kisha yule mzee akauliza kwa kumtaja jina la yule muuza samaki: wewe ndiye fulani (jina la muuzaji). Yule mama akaitikia ndiyo mimi baba. Yule mzee akaanza kulalamika huku akiondoka akisema watu wengine bwana huyu (fulani) sasa ana nini masikini, anatafuta riziki yake hapa. Yule muuza samaki akabaki anashangaa wakati yule mzee anaondoka huku akimlaumu aliyemsotea huyo mama.
Ndiyo watu wengine waliokuwa wakifanya biashara hapo wakamuuliza yule mama; unamjua huyo mzee? Yule mama akajibu simfahamu. Akaambiwa huyo ndiye JUMA NJEMBA. Yule mama akashikwa na khofu kubwa juu ya maisha yake ingawa mzee alikuwa tayari kapuuza kazi aliyokuwa kapewa.
Inaonekana kuna mtu alimfuata Juma Njemba ili ammalize huyo muuza samaki.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] loohNi kama Brand flanihivi...Mtu mmoja anajaribu kuiharibu na mtu mwingine anajaribu kuitetea, maana Njemba katumia miaka mingi kuitengeneza Brand yake na Familia yake, anapotokea mtu mmoja akaiharibu lazima moto uwake period!!
juma njemba? hahahahahhaa alikuwa na balaa si kitoto, wanao bisha waendelee kubisha, yupo mtalaamu mwingine anatokea mwakizega alikuwa ana balaa si masikhara, yupo binti rukungu. wapo weeengi. kuna mzee mmoja nmesahau jina lake yeye alikuwa akikunyooshea kidole basi nenda kaandike urithi kabisa, alikuwa anakunja vidole vya mikono yake yote, akivinyoosha vyoote ujue watu watano wameondoka, kula yake ilikuwa ndani tu baada ya kujizindua. wapo wale wazee wa mwamgongo na mwambao wa ziwa walikuwa na hatari si kitoto....
si vyema kuyazungumzia haya coz hayajengi
Hii ngombe kubebwa na mwewe nimewai sikia ni noma!!Hata mwambao Ziwa upande wa Rukwa nako kuna mafundi wengi balaa ambao wengi ni hybrid ya kalemii(DRC) na ufipa,ukiipataa hii hata ni hatari
Ile story ya kuiba mwenge wa UHURU nayo ushawahi isikia mkuu, Na kuna ile ya mwewe kubeba ng'ombe japo siiamini sana,
mambo kama haya huwez yasikia kwetu kaskaznWatoto wake hawakurithi mikoba?
Ni kweli kabisa awae
ndio maana mikoa yenye ushirikina yote ni maskini hata ukisoma takwimuNi kweli kabisa awae