Umejua kuwashushuaMh! Hakuzaliwa akiwa na ndugu wa kike, nduguze wore wa kiume
Walioshangilia kifo chake ni watu waovu waliokuwa wanashughulikiwa na Njemba......Mwaka 2002 wakati nachimba madini ya dhahabu Kigoma Karenge wachimbaji wengi sana walisaidiwa na Njemba....Wachawi wote walikuwa wanamuogopa sana Njemba
Why Mohamed Said?
Huyo Joseph kabasele alikufaje?Hilo zindiko ni hatari sana linahitaji ujasiri wa hali ya juu..Alikuwaga pia na zindiko la kumzika MTU kaburini, MTU kupikwa kwenye pipa pamoja na Yale ya " kusafiri" kwenda kuzimu kama lile lililo muua Joseph Kabasele
Duh anaitwa nani huyu mtu? je bado yupo hai na anapatikana wapi huyu mtuTupe na za yule Mzee wa kagunga aliekuwa ikifika usiku anatandika mkeka juu ya ziwa Tanganyika anakwenda kulala Burundi.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Swali limekaa kichokozi sana hiliHivi wakati huo kigoma hawakuwepo watumishi wa Mungu ili kukemea na kusambalatisha hizo nguvu za Giza za huyo Juma njemba
Huyo Joseph kabasele alikufaje?
Joseph kabasele Yampanya au Pepe kalle kwa jina la ki muziki, inadaiwa alikuwa na dawa anakufa kabisa hadi anahoza then anaenda kuzimu baada ya muda anarudi duniani
Kwa hiyo ilitokea akaenda moja kwa moja?Joseph kabasele Yampanya au Pepe kalle kwa jina la ki muziki, inadaiwa alikuwa na dawa anakufa kabisa hadi anahoza then anaenda kuzimu baada ya muda anarudi duniani
Kwa hiyo ilitokea akaenda moja kwa moja?
Hata kama watoto wake wapo OK,kumbuka damu ya mtu haiachi asiliwototo wke wapo ok au nao wpo kwnye ushlkina wa kichawi