Juma Njemba: Sangoma aliyeishi maisha ya peponi akiwa duniani

Mh! Ni juma njemba yupi?
 
Last edited:
Nomaaa hahahaha.
 
Watoto wake hawakurithi mikoba?
Kuna fasihi kali sana ndani ya hiki kisa Sky, yaelekea kuna Juma Njemba aneishi sasa hivi akichukua mabinti za watu(wengine sijui ni wake za watu!?) na kuwawowa huku wazazi wao au waume zao wakiufyata maana wakiinua sauti kulalamika wanapotezwa

Kwamba kifo cha Juma Njemba tunaeishi nae kitafurahiwa sana na watu kwa kufanya sherehe tena hasa na hao hao wanaojifanya kujinyenyekeza kwake na kijipendekeza kwa kumlamba miguu huku mioyoni mwao hawamkubali yeye na kazi zake za ulozi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…