Juma Njemba: Sangoma aliyeishi maisha ya peponi akiwa duniani

Juma Njemba: Sangoma aliyeishi maisha ya peponi akiwa duniani

LIKUD nakushukuru kuknikumbusha story ya mzee wangu wa ujiji huyu mzee kwa wafanyabiashara wa mikoa ya Tabora, Mwanza, Kigoma, Shinyanga na wale wa nchi kama Rwanda na Burundi ikiwamo Congo watakumbuka zindiko lake la kupita na magendo bila kuonwa wala kukamatwa na askari na dawa ile ilikua mnapita mnaondoka askari mnawaona wao hawawaoni hata iwe mchana.
 
Anajuaje kama ataenda mbinguni au peponi??? But anyway jamaa alifanya mambo mengi sana yasiyompendeza Mungu kwa kweli.........

Na jamaa naskia kweny kazi yake alikua hapokei hela yako mpka uone matokeo....sasa ww akufanikishie mchongo afu usimlipe....weeeeeeeee anasomba nusu ya ukoo wako
 
Back
Top Bottom