Juma Njemba: Sangoma aliyeishi maisha ya peponi akiwa duniani

ukikubali afe haraka mzee alikua na kisu kikali sana unachukua unachoma kichwani wewe mwenyewe basi mbaya wako kule muda huohuo anaaga dunia na ukisema afe taratibu achukue hata siku tatu walau wapeleke hospital wauguze kidogo ulikua unapewa sindano na kitambaa kwahiyo kile kitambaa kinalowana na kinalazwa kifuani kwenye kio kwenye ile sura ya mbaya wako unakua unachoma moyo taratibu huko mbaya wako anazidiwa kesho unachoma tena huko unasikia fulani hali mbaya ukija kumalizia sindano ikigonga kioo na mtu kwaheri.
 
Nakumbukua nilitembelea Ujiji mwaka 2013 nikaenda kwenye BEACH YA LIVINGSTONE pale ndo nikakuta story hii. Jamaa alikuwa anaogopwa sana huyu ila kwa Mungu kila kitu kina zama zake!
 
Duuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…