Juma Njemba: Sangoma aliyeishi maisha ya peponi akiwa duniani


Mbona ni kama vile unamsema mfalme mtukufu
 
Hii ndio Jf bana ,Asante kwa kuweka mambo sawa

Zakuambiwa changanya na zako .
 
Hilo zindiko ni hatari sana linahitaji ujasiri wa hali ya juu..Alikuwaga pia na zindiko la kumzika MTU kaburini, MTU kupikwa kwenye pipa pamoja na Yale ya " kusafiri" kwenda kuzimu kama lile lililo muua Joseph Kabasele
Hii ya kwenda kuzimu ipoje mkuu? Hebu jazia nyama story ya Joseph kabasele
 
Hii ni ya Kweli??? Duuh inatisha
 
Duh, mambo ya Mwisho wa reli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…