Juma Njemba: Sangoma aliyeishi maisha ya peponi akiwa duniani

Juma Njemba: Sangoma aliyeishi maisha ya peponi akiwa duniani

mambo kama haya huwez yasikia kwetu kaskazn
cc
chuma cha mjerumani
mjumbe wa bwana
Upepo wa Pesa
mimi ni mtu wa mikoa nyanda za juu kusini, shughuli zangu ni za kusafiri hapa na pale.

kuna wakati nilibahatika kwenda machame,nilichokiona huko kuhusu maendeleo ya mtu mmoja mmoja kilinifanya niwe nawa admire sana watu wa mkoa wa kilimanjaro na bidii yao ya kutafuta pesa

mwenyeji wangu alinitembeza ili nijionee majumba ya kifahari ya wamachame yaliyojificha kwenye vichaka vya migomba ya ndizi na kunitajia majina ya watu wa koo maarufu za machame zinazomiliki majumba hayo.

kwa siku nilizokaa machame sikusikia kabisa kuhusu hekaya za uchawi,ushirikina au mtu kalogwa.
 
mimi ni mtu wa mikoa nyanda za juu kusini, shughuli zangu ni za kusafiri hapa na pale.

kuna wakati nilibahatika kwenda machame,nilichokiona huko kuhusu maendeleo ya mtu mmoja mmoja kilinifanya niwe nawa admire sana watu wa mkoa wa kilimanjaro na bidii yao ya kutafuta pesa

mwenyeji wangu alinitembeza ili nijionee majumba ya kifahari ya wamachame yaliyojificha kwenye vichaka vya migomba ya ndizi na kunitajia majina ya watu wa koo maarufu za machame zinazomiliki majumba hayo.

kwa siku nilizokaa machame sikusikia kabisa kuhusu hekaya za uchawi,ushirikina au mtu kalogwa.
asante kwa kusema ukweli,wengi hawapendi kusikia jinsi wana Kilimanjaro walivyopendesesha mkoa wao umenikosha sana MKUU
instanbul
Laliga
MENGELENI KWETU
Rweye
chuma cha mjerumani
 
mimi ni mtu wa mikoa nyanda za juu kusini, shughuli zangu ni za kusafiri hapa na pale.

kuna wakati nilibahatika kwenda machame,nilichokiona huko kuhusu maendeleo ya mtu mmoja mmoja kilinifanya niwe nawa admire sana watu wa mkoa wa kilimanjaro na bidii yao ya kutafuta pesa

mwenyeji wangu alinitembeza ili nijionee majumba ya kifahari ya wamachame yaliyojificha kwenye vichaka vya migomba ya ndizi na kunitajia majina ya watu wa koo maarufu za machame zinazomiliki majumba hayo.

kwa siku nilizokaa machame sikusikia kabisa kuhusu hekaya za uchawi,ushirikina au mtu kalogwa.
Elimu, elimu, elimu. Shule ni muhimu sana kwenye kuondoa ujinga, ujinga huambatana na ushirikina na magonjwa.

Vv
 
Swali zuri sana!
Huyu kwenye labial lake alikuwa ni chief, na alikuwa ni mkuu wa ngoma za makabila yake pia, acha Kigoma alikuwa ni chief wao kwa Tanzania hii, toka ikiitwa Tanganyika. 1963 Kama sikukosea nchi yetu ilifuta utaratibu wa kuwatawalisha machifu.

Lakini baadhi ya Jamii ziliendelea kuheshimu. Kama Chief Fundikira wa Nyanyembe, au Mtwa Adam Sapi, Chifu Burito wa Zanaki nk.

Yeye alikuwa chifu wao. Hivyo kwa kadiri jamii ya labial lake walivyomuheshimu, kwa kadiri ya tabia zake kwa watu wake ndivyo pia jamii kwa upana walimchukulia hivyo.

Katika tabia ninazozijua alikuwa mtu mkali sana, mwenye sauti Nene. Hivyo akikemea kwa sauti ya ukali unajua tu hapa mziki mnene.

Jina la Njemba alipewa akiwa katika umri wa Kati kwenye miaka baina ya 1947 na sitini mwanzoni, huyu alikua msanii miaka hiyo wa ngoma za kirua, aliigiza walivyokuwa wakicheza.

Pia alikuwa msanii wa vichekesho kwenye stage, na aliwahi kuwa kamanda wa TANU YOUTH LEAGUE miaka ya TANU.

Ushahidi wa haya muulizeni Meya wa Zamani wa Mji wa Kigoma Ujiji Mzee Abdallah Shaabani Tofiki. Anajua Zaidi kwa ni shuhuda wa hayo. Au mzee Ramadhani Anzuruni (KIBOKO) mzee aliyesalia kwa umri mkubwa katika eneo alilokuwa akiishi Juma Njemba.
Hapa ndo umeniaminisha weww ndo yule mwandishi..!!!
 
Back
Top Bottom