JUMA NYANGE WA ALLIANCE AKIJITAMBUA ATATISHA SANA HAPA BONGO

MKUYENGE

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2019
Posts
4,107
Reaction score
4,612
Habari za mda huu wapenzi wa mpira wa miguu Nani anaemfamu huyu kiungo fundi wa ALLIANCE SCHOOL kiufupi jamaa kakamilika nikimuangaliaga dimbani simtofautishi na JONAS MKUDE.

Nazipa ushauri team za kariakoo zijaribu kumfuatilia uyu jamaa anakipaji kikubwa mno ila tatizo lake nidhamu mfano kumpiga kidole Gadiel Michael ilimtia doa kidogo ila jamaa kakamilika kwakweli.
 
Kukuthibitishia kuwa naujua mpira Juma nyange nimeanza kumshuhudia toka yuko daraja la kwanza na alliance na siku waliyoifunga Pamba 2-0 kwenye mechi ya FA CCM Kirumba tarehe 14/1/2017 nilikuwepo uwanjani na nilipiga nae picha!
 
Kukuthibitishia kuwa naujua mpira Juma nyange nimeanza kumshuhudia toka yuko daraja la kwanza na alliance na siku waliyoifunga Pamba 2-0 kwenye mechi ya FA CCM Kirumba tarehe 14/1/2017 nilikuwepo uwanjani na nilipiga nae picha!
Asante mkuu jamaa anajua sana kibongo bongo nilimshuhudia game na Siginda kina kutinyo na mudathiri wali appreciate
 
Mikia sifa mnazompa Mkude angekuwa anacheza PSG au Timu nyingine kubwa Ulaya..uzee unamuingia bado yuko Bongo..wa kawaida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…