Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 22,168
- 39,118
Kwa nyakati tofauti Mbunge wa Kahama Mh Kishimba na Mbunge wa Geita vijijini Mh Joseph Msukuma waliwahi kuomba bangi ihalalishwe kama zào la Biashara ikilimwa kama dawa.
Lakini kitendo ulichofanya Leo Juma Nyoso kwenye Mechi ambayo timu yako ilishaichukua na kuelekea kushinda, ghafla katika mazingira yasiyohatarisha goli lako unahamisha mpira vizuri na ghafla unamkanyaga mgongoni Kwa makusudi Kipre Junior. Hii bangi uliyotunia Leo ungetuelekeza ulikoinunua ili ndiyo ipigwe marufuku nyingine ihalalishwe.
Lakini kitendo ulichofanya Leo Juma Nyoso kwenye Mechi ambayo timu yako ilishaichukua na kuelekea kushinda, ghafla katika mazingira yasiyohatarisha goli lako unahamisha mpira vizuri na ghafla unamkanyaga mgongoni Kwa makusudi Kipre Junior. Hii bangi uliyotunia Leo ungetuelekeza ulikoinunua ili ndiyo ipigwe marufuku nyingine ihalalishwe.