Juma P. Makabila.... Singeli limeisha utamu haraka sana...

Juma P. Makabila.... Singeli limeisha utamu haraka sana...

Kuna siku alitungiwa songi la kuperform mbele ya wageni, mazoezi yameenda vizuri kabisa, sasa muda wa kutumbuiza ulipofika DJ anashangaa vocal haziendani na biti, kuja kushtuka kumbe Juma P Makabila anaimba vitu vyake anatoa kichwani.

Jamaa anamwamrisha ma-DJ, MC, Producers anataka wafanye vile anavyotaka tu yeye, wakikataa anawapiga chini.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]watu mnavituko aise..
Itamchukua mtu kuelewa hili somo aise.
Fasihi tata.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Naona watu wanaogopa kutelekezwa ununio..
 
Leo jamaa katoa single kule Pugu eti yeye ni dereva mzuri.Dereva mzuri anakataa abiria kuchimba dawa? Kwa mawazo yake anafikiri wakijiharibia yeye atakuwa salama.bwana Jems Palamagamba Makaburi ni hatariiii
 
NI
Salam,

Kwanza nikiri kuwa pamoja na kwamba Sikuwa mfuasi wa msanii huyu wa singeli, na wala sikuamini Kama aina yake ya mziki ingetoboa na angetoka.... Lakini kwa Mwaka mmoja wa kwanza tangu Juma Makabila ameanza singeli, nililazimika kuamini kuwa alikuwa anatoka na angetusua.

Akaanza kutafuta Kiki za hapa na pale ili singo zake za mwanzo ziuze... Akapata interview kibao, mpaka akaingia mitandaoni Kama msanii bora wa kiume afrika. Watu tukajua tumeuza.... Zikaja shows na collabo kibao toka kwa majirani zetu wanaocheza aina moja ya mziki.... Makabila akazidi kuwakamata. Mara kidogo katajwa na kituo kikubwa Nigeria, kidogo south, kidogo Marekani..... ikanibidi ni relax nikajua singeli la Makabila lishauza.... Lahaula!!!! Mwaka mmoja ulipoishaaaaa...

Mara show zikakata, collabo za wana zikageuka uadui wakaanza tumtukana na kumsema vibaya... Mara oh! Umeacha singeli unaimba hardcore, Mara umetubadilikia umekuwa matawi.... Loh.
Juzi hapa tukasikia kituo flani sauzi kimemkandia tukajua kwisha habari yetu.

Singeli la Makabila wetu likaisha utamu fastaaaa... Kama takeu ya ndugu yangu mr. Nice.
Ila bado Makabila anahitaji kurudisha singeli lake hewani..... Waungwana tumshauri kwa hekima ana Wakati mgumu ukizingatia garama kubwa alizopoteza kujiweka hapo alipo.
Mshauri juma Makabila singeli lake lirudi hewani.
DAH MKUU NIMEJARIBU KUISOMA KWA UMAKINI NIMEKUJA KUIELEWA DUH! WE MKALI ILA SS MAKABILA NDO KAMA HIVYO KAPANIKI KWA KUWA MZIKI UMEKUFA WATU HAWAMSIKILIZI TENA NA SS SIJUI ANAWAZA NN ILA AKIKAA AKATULIA ATAPENDWA TENA NA MZIKI WAKE!!!!!!!! BIG UP
 
Mziki wa singeli kweli umekufa, ila Nadhani msanii wetu juma akiachana na dj 0 wake anayempenda itasaidia sana kuurudisha mziki wa singeli. Sababu dj anamuharibia show zake, hata juzi juzi pale pugu night club dj alikua anan'gan'gania kupiga wimbo wake ule wa mida ya kubeti wakati alitakiwa apige nyimbo mpya.
 
Mmmh mbona mm simfahamu huyo msanii aka ni mm sijaelewa fanani na hadhira take
 
Eti amewapigia simu wasanii wenzake wale watoto walioimba helena amewapongeza na kusema anavutiwa na kile kibwagizo cha,

" mikono juu mwendo wa mateka mikono juu"[emoji444] [emoji444]
 
Mods huu uzi hukupaswa kuwa hapa ...wenye IQ kubwa kama mimi tumeelewa mkuu mtoa post kamzungumzia Juma P Makabila yupi., anyway ila hongera kwa Lumumba kwa kutoa ushauri kwa Mwanasingeri.
 
Hii thread ikipata likes 900 itapendeza.
emoji13.png
emoji13.png
emoji13.png
 
Ulifikiri bwana juma p makabila ataipelela singeli intaneshno😂😂😂😂 kibri kilimjaa hata produza zake akaona hawana maana wakati ndo walomtoa
 
Salam,

Kwanza nikiri kuwa pamoja na kwamba Sikuwa mfuasi wa msanii huyu wa singeli, na wala sikuamini Kama aina yake ya mziki ingetoboa na angetoka.... Lakini kwa Mwaka mmoja wa kwanza tangu Juma Makabila ameanza singeli, nililazimika kuamini kuwa alikuwa anatoka na angetusua.

Akaanza kutafuta Kiki za hapa na pale ili singo zake za mwanzo ziuze... Akapata interview kibao, mpaka akaingia mitandaoni Kama msanii bora wa kiume afrika. Watu tukajua tumeuza.... Zikaja shows na collabo kibao toka kwa majirani zetu wanaocheza aina moja ya mziki.... Makabila akazidi kuwakamata. Mara kidogo katajwa na kituo kikubwa Nigeria, kidogo south, kidogo Marekani..... ikanibidi ni relax nikajua singeli la Makabila lishauza.... Lahaula!!!! Mwaka mmoja ulipoishaaaaa...

Mara show zikakata, collabo za wana zikageuka uadui wakaanza tumtukana na kumsema vibaya... Mara oh! Umeacha singeli unaimba hardcore, Mara umetubadilikia umekuwa matawi.... Loh.
Juzi hapa tukasikia kituo flani sauzi kimemkandia tukajua kwisha habari yetu.

Singeli la Makabila wetu likaisha utamu fastaaaa... Kama takeu ya ndugu yangu mr. Nice.
Ila bado Makabila anahitaji kurudisha singeli lake hewani..... Waungwana tumshauri kwa hekima ana Wakati mgumu ukizingatia garama kubwa alizopoteza kujiweka hapo alipo.
Mshauri juma Makabila singeli lake lirudi hewani.
bado yupo,juzi kamfukuza meneja wake wa ndani,na kasaini mkataba na lebo nyingine ya kimataifa ila atakula 16% ya mapato.
 
Alikuja na wimbo wake mmoja unaitwa "Makabila" ukabamba sana. Lakini makabila yaliyonufaika na huo wimbo ni ya ukanda mmoja tu. Huyo ndo Juma Promota Makabila na singeli lake lililokosa mvuto.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom