Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
-
- #21
Pumzika kwanza tafakari ya kanisani na maisha kwa ujumla,,,baadae jioni kagiza cha usoni si mbaya ukaenda kupata kitimoto ROST utajua mwenyewe utaisindikiza na nini!!!
Umesema hutaki kuonekana na mtu mkuu
Kwahiyo siwezi kujaNdio sitaki
Kwahiyo siwezi kuja
Huo upweke wenzako wanaulilia ili wanyetuke nyenuu
Subir muda wa bible study
Anataka tumpe ratiba za ulimwenguni!!😀😀😀dronedrake
mpwayungu village
Mzee wa kupambania
Uwa zuri Unique Flower To yeye
Kijana anataka ushauri
upowapi mkuu?ili tukusaidie.Sina pesa kwa simu na sitaki kutembea njee sitaki kuonekana kifupi
Alale tu,hali ya hewa inaruhusudronedrake
mpwayungu village
Mzee wa kupambania
Uwa zuri Unique Flower To yeye
Kijana anataka ushauri
Nenda Baharini angalia jinsi Samaki wanavyo ogelea kisha jiulize hivi wewe ungeumbwa Samaki ingekuaje na wewe hujui kuogelea?
😀 😀
upowapi mkuu?ili tukusaidie.
Mida ya kubeti
mburahati au wapi?Kigogo
Uvuvini tuu🤣🤣🤣Good morng Africa
Ivi juma pili natakiwa kufanya nini mpaka saa sita usiku nipeni ratiba kanisani nishatoka [emoji849]