Juma Pinto na Mosha kugombea uongozi TFF...

The Boss

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2009
Posts
49,282
Reaction score
117,244
Nimesoma kwenye gazeti Juma Pinto
na David Mosha wanagombea ujumbe kwenye uchaguzi unaokuja
wa TFF....
nimeona ni vizuri ku share habari hii...hapa since haya majina
yanazungumzwa mno hapa JF now
just an info.....
 
Wote ni wana michezo hope sooo...Ila ni Yanga kupita maelezo
 
Nimesoma kwenye gazeti Juma Pinto
na David Mosha wanagombea ujumbe kwenye uchaguzi unaokuja
wa TFF....
nimeona ni vizuri ku share habari hii...hapa since haya majina
yanazungumzwa mno hapa JF now
just an info.....

TFF ni Ngalawa ya kusafirisha madawa ya kulevya ikiwa hawa jamaa watashinda
 
Yaa hii ndiyo njia yao nzuri ya kufanikisha biashara yao. Walaaniwe hao.
 
Mpira wa Tanzania upo chini hivyo watu makini na wasafi wanahitajika.
 
Ili soka iendelee tunahitaji viongozi wa kigeni TFF na si makocha tu.
 
kipwinto sijui pinto si ndo huyu aliemsindikiza airport yule mwenzie na Masogange na mabegi yao ya madawa ya kulevya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…