Juma Pondamali aitaka Yanga kuwekeza pia Nje ya uwanja

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Pondamali anadai kumuuliza Sammata kwamba walikuwa wanafanyaje walipokuwa TP Mazembe hadi kuwapiga waaarabu nje ndani , ambako inadaiwa boss wa Mazembe alikuwa anawatuma mashushushu hadi nje ya nchi kuonana na marefa kufanya fitna za nje ya pazia

Hivyo amewataka yanga kuwekeza pia nje ya uwanja kwa kutumia misumali au chochote .

Pondamali ni Mchezaji wa Zamani na kocha msaidizi wa zamani wa Yanga .

Toa maoni yako .
 
Pondamali anadai kumuuliza Sammata kwamba walikuwa wanafanyaje walipokuwa TP Mazembe hadi kuwapiga waaarabu nje ndani...
watu wawekeze nje ya uwanja lakini kwenye kutafuta scouting bora na uendeshaj bora wa team.

swala sijui wakaongee na marefa . ilo halitosaidia kitu team za Tanzania zitafungwa kila siku kama zitakuwa bado zina fikra za mwaka 1970
 
Akili za kiutopolo kabisa. Kwa hiyo Kwa sasa Mazembe wameokoka?
 
watu wawekeze nje ya uwanja lakini kwenye kutafuta scouting bora na uendeshaj bora wa team.

swala sijui wakaongee na marefa . ilo halitosaidia kitu team za Tanzania zitafungwa kila siku kama zitakuwa bado zina fikra za mwaka 1970
Unaweza kuwa sahihi kwamba ni mawazo duni, lkn kuna kitu huwa kinafikirisha juu ya timu za waarabu, wenzetu huwa wananufaika sana na kile kinachoitwa "makosa ya kibinadamu ya marefa" siku zote makosa hayo huwa ya kuwabeba na siyo kuwaumiza? Je hii huwa inatokea kibahati tu au ni mpango maalum?
 
Makosa ya refa yapo ila kama tumewatawala team pinzan ball possession 90% tunawashambulia ipasavyo kila idara tupo sawa on pitch ... haunion km tutakuwa na faida kubwa zaidi kuliko kuwategemea marefa
 
Aliyetoa maoni haya ni topolo kubwa mno.

Yaani usajili wachezaji kwa gharama kubwa halafu uwekeze kwenye kupiga watu misumari kama mnavyofanya hapa?!
Mtapigwa sana kwa ujinga wenu ijapo kuwa asilimia 60 ya mashabiki wa utopolo ni waganga wa kienyeji
 
Ila TOPOLO ni TOPOLO tu.
 
Malengo ya yanga na azam ni kuifunga simba.

Ktk hilo wameshafanikiwa ila huko kimataifa hawana tofauti na mwenge unaoangaza vijijini tu na kamwe hata burundi mipakani hauwezi fika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…