Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Pondamali anadai kumuuliza Sammata kwamba walikuwa wanafanyaje walipokuwa TP Mazembe hadi kuwapiga waaarabu nje ndani , ambako inadaiwa boss wa Mazembe alikuwa anawatuma mashushushu hadi nje ya nchi kuonana na marefa kufanya fitna za nje ya pazia
Hivyo amewataka yanga kuwekeza pia nje ya uwanja kwa kutumia misumali au chochote .
Pondamali ni Mchezaji wa Zamani na kocha msaidizi wa zamani wa Yanga .
Toa maoni yako .
Hivyo amewataka yanga kuwekeza pia nje ya uwanja kwa kutumia misumali au chochote .
Pondamali ni Mchezaji wa Zamani na kocha msaidizi wa zamani wa Yanga .
Toa maoni yako .