Jumaa Aweso mtoto wa mama n'tilie pokea maua yako

Jumaa Aweso mtoto wa mama n'tilie pokea maua yako

Hawa ndiyo true hustlers sasa kwakua Elimu yako ndogo huwezi kujua kuwa hiyo masters ameipata muda gani. Next time tumia akili kufikiria si housing ya meno hiyo.
“Hustlers” ni watu wenye janja, fitna na hila kibao. Ni mwendo wa mafanikio binafsi by any means. Ni kawaida ya watu wanaokimbilia siasa hasa upande wa chama tawala huku kwetu kuwa hivyo.

Kibinafsi atafika mbali. Lakini si mtu wa kutegemewa sana katika kusimamia maadili ya uongozi nchini.
 
Aweso anajua kufanya kazi yake vizuri na anasimama na wananchi na kusikiliza na kuwaheshimu watu wote hii ni kwa hajatokana na mfumo wa wakubwa au kubebwa zaidi uwezo wake ndio unambeba tangu kipaji chake kilipoibuliwa na Hayati Dk. John Pombe Joseph Magufuli na nina uhakika atafika mbali sana kisiasa nakubaliana na wanaomtabiria kuja kushika nafasi kubwa baadae.
 
Ninyi mnaowaza madaraka washukuruni vyama vya upinzani ni wenye huruma, wasingependa kupata madaraka mikono ikiwa imejaa Damu ya Watanzania.

Bt uvumilivu huo una kikomo, Chama kikuu upinzani Hasa bara hakitaingia ktk Uchaguzi wowote Kwa Katiba hii.

Msidhani wako pekeao, wananchi wanawasubir Kwa HAMU.

Weka Akili ktk Kupatikana KATIBA mpya ndo ufuate uchaguzi. Amen
 
Maji kufika singida na igunga haraka zaidi ni kwa vile vigogo wanayaitaji pale dodoma bila hivyo ingekua mwendo wa kobe
Maji yanafika Dodoma wakati kanda ya ziwa yanakotoka wananchi hawana maji huu no usanii tu hamna lolote
 
Jaribu kuelewa, unategemea mtu wa hivi ndio akuletee maendeleo kwenye level ya uwaziri?. unafikiri mtu huyu anaweza kuwa na upeo wa kufikiri, kuwaza, kutoa maamuzi na kuyasimamia?.

mfano, mfananishe kwa uelewa na mtu kama Hussein Bashe labda unaweza kunielewa. Huwezi ukampa mtu cheo cha uwaziri ambaye hajawahi kufanya kazi popote kwenye level ya maamuzi na kuleta matokeo. Hakuwahi kusimamia biashara yeyote iwe yake au ya mtu na ikapata mafanikio. Mafanikio yake ni Degree na Master unamuita true hustller.

Kufanya maamuzi ya nchi si suala la kufa na kupona ukiwa uwezo mzuri wa kuelewa mbona rahisi tu.
 
Jaribu kuelewa, unategemea mtu wa hivi ndio akuletee maendeleo kwenye level ya uwaziri?. unafikiri mtu huyu anaweza kuwa na upeo wa kufikiri, kuwaza, kutoa maamuzi na kuyasimamia?.

mfano, mfananishe kwa uelewa na mtu kama Hussein Bashe labda unaweza kunielewa. Huwezi ukampa mtu cheo cha uwaziri ambaye hajawahi kufanya kazi popote kwenye level ya maamuzi na kuleta matokeo. Hakuwahi kusimamia biashara yeyote iwe yake au ya mtu na ikapata mafanikio. Mafanikio yake ni Degree na Master unamuita true hustller.
Ndo maana alichukua mke wa mwenzie DC wa pangani akamfanya mke wa pili.
 
Huyu ni mla rushwa mzuri sn sema watu hawamjui vizuri type ya akina Kipara

Huyu dogo nimemchunguza sana. Dogo yupo vizuri kwenye utendaji wake hana tamaa ya tumbo waulize wasaka fursa mjini wanafahamu dogo asivyopenda kuwa na mikono michafu.
 
Huyu ni mla rushwa mzuri sn sema watu hawamjui vizuri type ya akina Kipara
Kuna rushwa kubwa sana kwenye miradi ya maji. hasa kwenye hizi mamlaka za bonde kama Ruvu basin nk. na nadhani Rushwa zile zinamfikia mpaka yeye mwenyewe Aweso. Wanasiasa wanajua sana kuficha madhambi yaondo kipaji pekee walichojaaliwa
 
Huyu dogo nimemchunguza sana. Dogo yupo vizuri kwenye utendaji wake hana tamaa ya tumbo waulize wasaka fursa mjini wanafahamu dogo asivyopenda kuwa na mikono michafu.
Kama yeye hachumii tumboni basi adhibiti rushwa kwenye miradi ya maji kuna upigaji mkubwa sana huko kama yeye kweli hahusiki basi adhibiti vinginevyo zitakuja kumchafulia vibaya sana
 
Kama yeye hachumii tumboni basi adhibiti rushwa kwenye miradi ya maji kuna upigaji mkubwa sana huko kama yeye kweli hahusiki basi adhibiti vinginevyo zitakuja kumchafulia vibaya sana

Miradi ina Rushwa kwenye tender au sehemu gani tujuze.
 
Miradi ina Rushwa kwenye tender au sehemu g

Miradi ina Rushwa kwenye tender au sehemu gani tujuze.
Kuna miradi na kuna activities humo watendaji wanapiga sana ktk utekelezaji wa hizo activities zingine ni hewa tu hazifanyiki lakini zinakua na full retirenment nk. Saizi wafanyakazi wa Mamlaka za maji pamojana mabonde (Basin) wana jeuri kama wafanyakazi wa TRA tu ndo ujiulize
 
Kuna miradi na kuna activities humo watendaji wanapiga sana ktk utekelezaji wa hizo activities zingine ni hewa tu hazifanyiki lakini zinakua na full retirenment nk. Saizi wafanyakazi wa Mamlaka za maji pamojana mabonde (Basin) wana jeuri kama wafanyakazi wa TRA tu ndo ujiulize

Haya yanatokea kwenye miradi hutewezi kuichafua Wizara nzima kwa sababu ya wachumia tumbo wachache tulipotoka na hapa tulipo Huyu bwana mdogo anastahili pongezi.
Humo ndani ya Wizara kuna Wanajeshi, kuna Usalama kuna, kuna Wachawi kuna wezi haya ndiyo maisha lazima yaendelee.
 
Back
Top Bottom