Jumaa Aweso mtoto wa mama n'tilie pokea maua yako

Kuna rushwa kubwa sana kwenye miradi ya maji. hasa kwenye hizi mamlaka za bonde kama Ruvu basin nk. na nadhani Rushwa zile zinamfikia mpaka yeye mwenyewe Aweso. Wanasiasa wanajua sana kuficha madhambi yaondo kipaji pekee walichojaaliwa
Ameweka mameja RUWASA jamaa zake wote
 
Waziri anaeongoza kwa kumsifia Raisi
 
Amejaaliwa Upole na Unyenyekevu,
Nilikutana nae Mcity nikaenda kumsalimia, akanipa mkono kwa bashasha kama tunayejuana,
Mungu azidi kumbariki asije akakengeuka.
 
Huyu kijana anapendwa sana na ni mtendaji wa kweli si muigizaji kabisa. Naona ni Waziri aliyefanya vizuri hadi sasa kwenye serikali ya awamu ya sita.
 
Namfahamu ni mstaarabu zaidi ya neno ustaarabu, Pili ana heshima kubwa sana Namaanisha nidhamu.
Ameoa wake wawili hii ni safi sana marijali hawa anatimiza suna za mtume.
 
Hii ni sabuni baada ya mdau mmoja kuleta uzi unaoelezea wizi RUBADA ambao anadai unahusisha viongozi wote wa wizara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…