Chochote afanyacho huyu Waziri kama hanufaiki nacho hakifanyiki. Ni mchumia tumbo mzuri na mtu wa kudanganya maza kwa media akijionyesha mchapa kaziLevel ya Uwaziri inamtaka waziri husika kabla ya kuchukua maoni ya wadau kabla ya kuamua chochote au kupitia ripoti za tafiti zilizofanyika before.
Kama hakukuuliza ushauri, unapoteza muda kumshauri sababu ameshaamua na yawezakuwa ni fursa kwake Kwa uamuzi alochukua.