Jumaa Aweso ushauri wangu kwako

Chochote afanyacho huyu Waziri kama hanufaiki nacho hakifanyiki. Ni mchumia tumbo mzuri na mtu wa kudanganya maza kwa media akijionyesha mchapa kazi
 
Haya mambo unawashauri watu ambao kwa mwaka wao wa fedha hawana hata kilomita moja ya lami.

Waste of energy.
 
Chochote afanyacho huyu Waziri kama hanufaiki nacho hakifanyiki. Ni mchumia tumbo mzuri na mtu wa kudanganya maza kwa media akijionyesha mchapa kazi
Mmmh? Nipe uthibitisho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…