ndugu thpika zinduna,mimi nina kaswali kadogo unitunzie,mimi namuuluza .madamB hivi: hivi we mwanamke kare karufundi ka kwetu tulikomfundisha Ruttashobolwa hakakutoshi kweli mpaka unakwenda kula kwa jirani?
We Nicas Mtei wahangaika na nini?
hapo ujue alikuwa ataka kuandika umbeaaaaaaaaa!!!!!!
Daaaaah bora ndugu yangu unisaidie mi sina usemi hapa!
Naomba nikuulize swali moja wangu.
Kwani bado wanihitaji?
Naona unaongea kinyonge.
Wangu hilo jibu!
Lakini Siku ukihamua kurudi mlango uko wazi!
Huwa sisomi sms za mpenzi wangu kwa hilo Ruttashobolwa nimelifumbia jicho kwa muda na kwa uchunguzi zaidi.maana hapa si kuwa unaweza kunata tu bali hata midomo itanata
Kuna huwezekano wa kunasa kwa mke wako mwenyewe?
Suala unalotaka kulileta ni mgogoro mkubwa sana kama wa israel na palestina, mimi nikiwa israel na wewe Ruttashobolwa ni mpalestina tedo ni hamas Chilli ni hezbolah,nyote mko against israel ambaye ni mimi xo u better be carefull,,mimi kwangu mkijaribu sio kwamba itanata hapana bali haitasimama
Nicas Mtei atafanya Show na kundi lake maarufu la KAMCHAPE ili kupendezesha Show hiyo a Madame B siku ya Jumamosi
.....Kwani tayari amesharudi Rwanda?
ndo naenda leo. Ratiba iliparaganyika
ndo naenda leo. Ratiba iliparaganyika
Avunje mifupa wakati nyumbani kaacha mke na watoto wanaomtegemea?
Me sijambo kbs Mme wangu wa zamani.
Mkeo hajambo?
Afu we mbayaaaaaaa......!!!!!!!!!!!
Avunje mifupa wakati nyumbani kaacha mke na watoto wanaomtegemea?
Me sijambo kbs Mme wangu wa zamani.
Mkeo hajambo?
Afu we mbayaaaaaaa......!!!!!!!!!!!
Niambriie ubaya wangu Madame B. Mamzalendo anakupa hi.