Jumamosi hii Zinduna Talk Show Madame B Mjengoni!

mzee hilo safari la kwenda kutoa mahari nini, muda wote ilibidi kutanguliza kikosi kazi kwanza kwenda kuweka mambo sawa kabla ya kupata Go Ahead...

Well said watu8! hapa toto la kitutsi linamuhu Nicas Mtei!!
 
Last edited by a moderator:
Guest of honour niko hapa na Mamzalendo tutakuwa high table na Zinduna, ila show ikiisha bahasha ya kaki yenye something inatuhu pamoja na yote hakuna TAKUKURU leo.
 
Last edited by a moderator:
Habari yako bhanaaaaaa

 
Last edited by a moderator:
Mimi nataka nimuulize muulizwa maswali: Je unavuta Bhange? Kama huvuti ni kwa nini?
 

hahaha ukimaliza show naomba offer ya Balimi Exra lager
 
Erickb52 umeharibu ule mpango, mie nilitaka tufanye SURPRISE sasa wewe unapiga upatu huku mtaa wa pili mweh!
Unakuwa kama vile hujapelekwa jandoni?
 
Last edited by a moderator:
mmmh! leo sitakuwepo online hadi mishale ya usiku duh! ila naomba niziwah hizi dk chache nimpemo desa bi mkubwa Madame B.

kumbuka tui la nazi halitengenezi mtindi bibie sasa wasikujazie inzi, pia ukumbuke tarehe 14 dec lazima jiji lirindime kwa full shangwe za gfsonwin, cacico, snowhite na Madame B. sasa wasikuchoshe kabisaaa.............lkn mwali waeke mtu kati wababa wa jf hadi wayataje majina yao ya utotoni.
Zinduna i love the show but sitokuwepo mweeee! wakimbize sana sana hadi wakome wenyewe. baada ya show naomba BAK atuwekee wimbo mzuriiiiiiiiii wa kusindikizia na Asprin atoe ofa ya Mtambuzi pub
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…