Jumamosi hii Zinduna Talk Show Madame B Mjengoni!


Hahahahahaaaaaaa.......!!!!!!!!!!!!
Mamito gfsonwin usijali.
Hiyo shughuli yako itakuwa Pambe,Ucpime.
 
Last edited by a moderator:
gfsonwin Show ya leo itaongozwa na Erickb52 na mimi nitakuwa nyuma ya pazia nikiweka mambo sawa, si unajua kwamba ni vyema kuwa na ladha tofauti mili walaji wasichoshwe na mapishi.

Basi leo hii nawaleteeni kijana wa R Chuga ili tusikie lafudhi ya Kiarusha.
 
Last edited by a moderator:

hahhahahah! leo ni leo mwali lkn huyu hata mweza huyu manake yanahitajika maswali ya mtima atii kumdodosa Madame B
 
Last edited by a moderator:
hahhahahah! leo ni leo mwali lkn huyu hata mweza huyu manake yanahitajika maswali ya mtima atii kumdodosa Madame B

Hahahahahahaaaaaaaaaaaaaaa...........................!!!!!!!!!!!!!!!!
afu we gfsonwin wewe...........!!!!!!!!!Haya bhana.
 
Last edited by a moderator:
TANMO subiri show ikianza uje uulize huku ni taarifa tu acha haraka
Mlete na FP mkeo wa zamani

Ndiyo uliweke swali langu kwenye orodha ya maswali.
FP alinipa tahadhari kama napenda maisha yangu basi nikae mbali naye...
Sa'ivi naogopa hata kumwongelesha nisije nika-:rip:
 
Ndiyo uliweke swali langu kwenye orodha ya maswali.
FP alinipa tahadhari kama napenda maisha yangu basi nikae mbali naye...
Sa'ivi naogopa hata kumwongelesha nisije nika-:rip:
Hahahahahaaaa TANMO umenichekesha aisee yan kiukweli dah eti uka RIP dah
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…