johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Usimwamini huyo johnthebaptist, ni kijana wa Lumumba. Kila siku lazima atafute neno la kuwachokoza chadema. kwake siasa ni utani kama wa yanga na Simba.CHADEMA Nao hawasimamii Moja
Hahaha........!Watu hawalali kila sekunde kuiwaza Chadema yaani asipoitaja Chadema anaumwa kabisa na dripu juu.....
Ijitoe ili mfaidi?CHADEMA Nao hawasimamii Moja
Kwasababu bendera zao zinapepea?CHADEMA Nao hawasimamii Moja
Kwahiyo mnashiriki uchaguzi?Kwasababu bendera zao zinapepea???
Bendera ikipepea ndiyo inamaanisha watu wanashiriki uchaguzi?Kwahiyo mnashiriki uchaguzi?
Ndio nauliza kwa sababu bendera ni mpyaBendera ikipepea ndiyo inamaanisha watu wanashiriki uchaguzi?
Chadema ndiyo mtaji wao wa kuishi mjini hapa bila kuitaja Chadema hawalipwi posho.Watu hawalali kila sekunde kuiwaza Chadema yaani asipoitaja Chadema anaumwa kabisa na dripu juu.....
Sasa kama hujaelewa kwanini uandikeSijaelewa kama hizi bendera mpya za Chadema hapa Bagamoyo ndio maandalizi ya Mikutano ya hadhara au kampeni za Diwani
Bagamoyo watakuwa na uchaguzi wa Diwani siku ya Jumamosi
Bendera ikiwa mpya ndiyo inamaanisha watu wanashiriki uchaguzi??Ndio nauliza kwa sababu bendera ni mpya
Na wewe hujui?Bendera ikiwa mpya ndiyo inamaanisha watu wanashiriki uchaguzi??
Bendera zikiwa mpya ndiyo inamaanisha watu wanashiriki uchaguzi??Na wear hujui?