PAZIA 3
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 1,102
- 1,919
Baada ya Mgombea Urais kupitia CHADEMA kukaa kimya kwa siku kadhaa, jumamosi hii ataendelea na kampeni Kama kawaida, siku hii itafuatiliwa na mamilioni ya watu duniani kote kwani Kila mtu anaitaji kupata ufafanuzi zidi ya masuala kadhaa yaliyojitokeza kipindi yeye akiwa kimya.
Lakini katika kipindi hiki akiwa ametulia, ndipo anapokea taarifa nyeti za mikakati ya tume na ccm kuvuruga uchaguzi, hivyo mpaka anakuja kuzungumza, watatamani kumfungia tena kitu kisichowezekana tena.
Kuna masuala yanahitaji ufafanuzi ikiwemo
- Hutuba ya Mgombea Uraisi kupitia CCM kule Zanzibar kuhusu masuala ya Muungano.
- Kuhusu walimu ngazi ya cheti.
- Kuvamiwa kwa ofisi za CHADEMA kanda ya Serengeti na Arusha.
- Waraka wa mwanasheria wa Lissu bwana Robert Amsterdam na effect yake kwenye uchaguzi huu.
Na mambo mengine mengi, bila Shaka, T. Lisu kwasasa ndiye mbeba maono ya wananchi wengi, kwani watu wengi wamechagua harakati za HAKI, UHURU na MAENDELEO ya WATU kuliko harakati za MAENDELEO YA VITU bila kujali HAKI NA MAENDELEO YA WATU( Unafuu wa Maisha ya mtu mmoja mmoja.
Lakini katika kipindi hiki akiwa ametulia, ndipo anapokea taarifa nyeti za mikakati ya tume na ccm kuvuruga uchaguzi, hivyo mpaka anakuja kuzungumza, watatamani kumfungia tena kitu kisichowezekana tena.
Kuna masuala yanahitaji ufafanuzi ikiwemo
- Hutuba ya Mgombea Uraisi kupitia CCM kule Zanzibar kuhusu masuala ya Muungano.
- Kuhusu walimu ngazi ya cheti.
- Kuvamiwa kwa ofisi za CHADEMA kanda ya Serengeti na Arusha.
- Waraka wa mwanasheria wa Lissu bwana Robert Amsterdam na effect yake kwenye uchaguzi huu.
Na mambo mengine mengi, bila Shaka, T. Lisu kwasasa ndiye mbeba maono ya wananchi wengi, kwani watu wengi wamechagua harakati za HAKI, UHURU na MAENDELEO ya WATU kuliko harakati za MAENDELEO YA VITU bila kujali HAKI NA MAENDELEO YA WATU( Unafuu wa Maisha ya mtu mmoja mmoja.