Na nashauri akaanzie moshi. Leo nimemsikia mwanachama mmoja wa ccm kwamba viongozi wao wanawaambia kwamba wanaohudhuria mikutano ya Lissu hawatampa kura. Sasa akawa anauliza hivi ni kweli lisuu umati wote anao kutana nao wasimpe kura?.nilichomjibu achana na ujinga huo,lowassa walisema hivyo na kapata kura 6 kwa milioni 8. Na watu wanamwamini zaidi Lissu kuliko magu,kwa sababu magu amedanganya sana,