Jumanne Muliro aache kupaniki suala la Askofu Mwingira, badala yake asome PGO

Jumanne Muliro aache kupaniki suala la Askofu Mwingira, badala yake asome PGO

Ranger9

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2021
Posts
1,613
Reaction score
3,002
Nimemsikiliza Jumanne Muliro

Naona kama amepaniki na tayari anahukumu badala ya kuonesha nia ya kufahamu ukweli anapomwita Askofu Mwingira kufika polisi kufanya mahojiano juu ya kauli yake. Anaonesha wazi kubeba hisia kama si za kidini basi za kujipendekeza kwa wenye mamlaka kama ilivyo kawaida yake.

Hawa akina Muliro, Simon Sirro, Camilius Wambura na akina Kingai ni mapolisi wa kujipendekeza pendekeza tu hawana weledi wowote

Ni hivyo hivyo huwa anapaniki Simon Sirro kila anapoulizwa nani alimpiga Tundu Lissu risasi, huwa anahamaki kwa sababu anafahamu mwenye amri ya kuwaondoa Polisi kwenye geti la makazi ya viongozi wa serikali ni yeye mwenyewe, he has blood in his hands

Sasa Muliro ashughulike na hili swala kwa utulivu tu; afahamu kwamba iwe kweli ama si kweli sisi wa Imani isiyo sawa na ya kwake tupo pamoja na Nabii Mwingira

Muliro acha kupaniki, soma PGO
 
Nimemsikiliza Jumanne Muliro

Naona kama amepaniki na tayari anahukumu badala ya kuonesha nia ya kufahamu ukweli anapomwita Askofu Mwingira kufika polisi kufanya mahojiano juu ya kauli yake. Anaonesha wazi kubeba hisia kama si za kidini basi za kujipendekeza kwa wenye mamlaka kama ilivyo kawaida yake.

Ni hivyo hivyo huwa anapaniki Simon Sirro kila anapoulizwa nani alimpiga Tundu Lissu risasi, huwa anahamaki kwa sababu anafahamu mwenye amri ya kuwaondoa Polisi kwenye geti la makazi ya viongozi wa serikali ni yeye mwenyewe, he has blood in his hands

Sasa Muliro ashughulike na hili swala kwa utulivu tu; afahamu kwamba iwe kweli ama si kweli sisi wa Imani isiyo sawa na ya kwake Muliro tuko pamoja na Nabii Mwingira

Muliro acha kupaniki, soma PGO
Ushauri wa Bure huo apitie pgo mwanzo mwisho ahakikishe ameielewa vizuri Ili asijikute lawanani, na sii tu pgo ahakikishe uzingativu wa taaluma bila ushawishi was siasa/siihasa🤔.
 
Nimemsikiliza Jumanne Muliro

Naona kama amepaniki na tayari anahukumu badala ya kuonesha nia ya kufahamu ukweli anapomwita Askofu Mwingira kufika polisi kufanya mahojiano juu ya kauli yake. Anaonesha wazi kubeba hisia kama si za kidini basi za kujipendekeza kwa wenye mamlaka kama ilivyo kawaida yake.

Hawa akina Muliro, Simon Sirro, Camilius Wambura na akina Kingai ni mapolisi wa kujipendekeza pendekeza tu hawana weledi wowote

Ni hivyo hivyo huwa anapaniki Simon Sirro kila anapoulizwa nani alimpiga Tundu Lissu risasi, huwa anahamaki kwa sababu anafahamu mwenye amri ya kuwaondoa Polisi kwenye geti la makazi ya viongozi wa serikali ni yeye mwenyewe, he has blood in his hands

Sasa Muliro ashughulike na hili swala kwa utulivu tu; afahamu kwamba iwe kweli ama si kweli sisi wa Imani isiyo sawa na ya kwake tupo pamoja na Nabii Mwingira

Muliro acha kupaniki, soma PGO
Hajapaniki,anafata maagizo ya Bosi wake Simbachawene
 
Nimemsikiliza Jumanne Muliro

Naona kama amepaniki na tayari anahukumu badala ya kuonesha nia ya kufahamu ukweli anapomwita Askofu Mwingira kufika polisi kufanya mahojiano juu ya kauli yake. Anaonesha wazi kubeba hisia kama si za kidini basi za kujipendekeza kwa wenye mamlaka kama ilivyo kawaida yake.

Hawa akina Muliro, Simon Sirro, Camilius Wambura na akina Kingai ni mapolisi wa kujipendekeza pendekeza tu hawana weledi wowote

Ni hivyo hivyo huwa anapaniki Simon Sirro kila anapoulizwa nani alimpiga Tundu Lissu risasi, huwa anahamaki kwa sababu anafahamu mwenye amri ya kuwaondoa Polisi kwenye geti la makazi ya viongozi wa serikali ni yeye mwenyewe, he has blood in his hands

Sasa Muliro ashughulike na hili swala kwa utulivu tu; afahamu kwamba iwe kweli ama si kweli sisi wa Imani isiyo sawa na ya kwake tupo pamoja na Nabii Mwingira

Muliro acha kupaniki, soma PGO

Hawa askari kutoka Mkoa wa Mara wamelifanya jeshi la polisi kudharaulika sana
 
Hawa askari kutoka Mkoa wa Mara wamelifanya jeshi la polisi kudharaulika sana
Mwingine atasema wasanii wa Arusha sijui Nini?
Hivi huwa mnawezajekufanya generalization? Mbona Mwl Nyerere katokea Mara!
 
Sitarajii taarifa yeyote ile ya polisi baada ya mahojiano na mzee Mwingira.

Najua wataamua kuyamaliza kiutu uzima.

Mwingira yeye anachotaka ni huruma kwa serikali imfanyie fidia ya mali zake.

Naona serikali imeshajaa tayari.
 
Nimemsikiliza Jumanne Muliro

Naona kama amepaniki na tayari anahukumu badala ya kuonesha nia ya kufahamu ukweli anapomwita Askofu Mwingira kufika polisi kufanya mahojiano juu ya kauli yake. Anaonesha wazi kubeba hisia kama si za kidini basi za kujipendekeza kwa wenye mamlaka kama ilivyo kawaida yake.

Hawa akina Muliro, Simon Sirro, Camilius Wambura na akina Kingai ni mapolisi wa kujipendekeza pendekeza tu hawana weledi wowote

Ni hivyo hivyo huwa anapaniki Simon Sirro kila anapoulizwa nani alimpiga Tundu Lissu risasi, huwa anahamaki kwa sababu anafahamu mwenye amri ya kuwaondoa Polisi kwenye geti la makazi ya viongozi wa serikali ni yeye mwenyewe, he has blood in his hands

Sasa Muliro ashughulike na hili swala kwa utulivu tu; afahamu kwamba iwe kweli ama si kweli sisi wa Imani isiyo sawa na ya kwake tupo pamoja na Nabii Mwingira

Muliro acha kupaniki, soma PGO
Hakuna suala la imani hapo aliyempa maagaizo ni Kondakta George Simbachawene wa imani yako
Ujinga wa udini mtaacha lini?
 
Jumanne Murilo asilete udini wake

Akome na akome kuwasumbua Maaskofu (wachungaji)
 
Back
Top Bottom