mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Ebu tulia kwanza.Murilo asilete udini wake
Akome na akome kuwasumbua Maaskofu
Aliyesema mzee mwingila aitwe na haojiwe ni Nani?
Mkileta Mambo ya udinii mtafeli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ebu tulia kwanza.Murilo asilete udini wake
Akome na akome kuwasumbua Maaskofu
Watafeli wakina nani Jumane aache kuwasumbua vingozi wa diniEbu tulia kwanza.
Aliyesema mzee mwingila aitwe na haojiwe ni Nani?
Mkileta Mambo ya udinii mtafeli.
Watafeli wakina nani Jumane aache kuwasumbua vingozi wa dini
usiruhusu makalio yako yachukue nafasi ya ubongo wako! Jumanne amepewa tu order na mtu wa imani yako ambaye anaitwa George.Jumanne Murilo asilete udini wake
Akome na akome kuwasumbua Maaskofu (wachungaji)
Nimemsikiliza Jumanne Muliro
Naona kama amepaniki na tayari anahukumu badala ya kuonesha nia ya kufahamu ukweli anapomwita Askofu Mwingira kufika polisi kufanya mahojiano juu ya kauli yake. Anaonesha wazi kubeba hisia kama si za kidini basi za kujipendekeza kwa wenye mamlaka kama ilivyo kawaida yake.
Hawa akina Muliro, Simon Sirro, Camilius Wambura na akina Kingai ni mapolisi wa kujipendekeza pendekeza tu hawana weledi wowote
Ni hivyo hivyo huwa anapaniki Simon Sirro kila anapoulizwa nani alimpiga Tundu Lissu risasi, huwa anahamaki kwa sababu anafahamu mwenye amri ya kuwaondoa Polisi kwenye geti la makazi ya viongozi wa serikali ni yeye mwenyewe, he has blood in his hands
Sasa Muliro ashughulike na hili swala kwa utulivu tu; afahamu kwamba iwe kweli ama si kweli sisi wa Imani isiyo sawa na ya kwake tupo pamoja na Nabii Mwingira
Muliro acha kupaniki, soma PGO
Huko ndo kupanic kwenyewe.Hajapaniki,anafata maagizo ya Bosi wake Simbachawene
UmenenaHajapaniki,anafata maagizo ya Bosi wake Simbachawene
Kwa hiy kama mwngira amekosea basi na wewe bila kutumia akili yako unaenda tu huko kwa mwingira?Nimemsikiliza Jumanne Muliro
Naona kama amepaniki na tayari anahukumu badala ya kuonesha nia ya kufahamu ukweli anapomwita Askofu Mwingira kufika polisi kufanya mahojiano juu ya kauli yake. Anaonesha wazi kubeba hisia kama si za kidini basi za kujipendekeza kwa wenye mamlaka kama ilivyo kawaida yake.
Hawa akina Muliro, Simon Sirro, Camilius Wambura na akina Kingai ni mapolisi wa kujipendekeza pendekeza tu hawana weledi wowote
Ni hivyo hivyo huwa anapaniki Simon Sirro kila anapoulizwa nani alimpiga Tundu Lissu risasi, huwa anahamaki kwa sababu anafahamu mwenye amri ya kuwaondoa Polisi kwenye geti la makazi ya viongozi wa serikali ni yeye mwenyewe, he has blood in his hands
Sasa Muliro ashughulike na hili swala kwa utulivu tu; afahamu kwamba iwe kweli ama si kweli sisi wa Imani isiyo sawa na ya kwake tupo pamoja na Nabii Mwingira
Muliro acha kupaniki, soma PGO
Hivi hamtaki Mwingira ahojiwe? Mjue kuwa atakaye muhoji siyo Muliro!Muliro ni mbabaishaji sana na hovyo, hajawah kusimamia haki
Hapa siyo mahali pake pa kuleta huu upupu,peleka huko ofisini kwake! Hapa tuna-deal na issues nzito nzito siyo mambo ya sijui Mwingira sijui Muliro! Unataka tujadili nini hapa wakati yeye keshatoa order Mwingira afike Central police! Siyo kila linalotokea uraiani ni la kurusha huku JF.Nimemsikiliza Jumanne Muliro
Naona kama amepaniki na tayari anahukumu badala ya kuonesha nia ya kufahamu ukweli anapomwita Askofu Mwingira kufika polisi kufanya mahojiano juu ya kauli yake. Anaonesha wazi kubeba hisia kama si za kidini basi za kujipendekeza kwa wenye mamlaka kama ilivyo kawaida yake.
Hawa akina Muliro, Simon Sirro, Camilius Wambura na akina Kingai ni mapolisi wa kujipendekeza pendekeza tu hawana weledi wowote
Ni hivyo hivyo huwa anapaniki Simon Sirro kila anapoulizwa nani alimpiga Tundu Lissu risasi, huwa anahamaki kwa sababu anafahamu mwenye amri ya kuwaondoa Polisi kwenye geti la makazi ya viongozi wa serikali ni yeye mwenyewe, he has blood in his hands
Sasa Muliro ashughulike na hili swala kwa utulivu tu; afahamu kwamba iwe kweli ama si kweli sisi wa Imani isiyo sawa na ya kwake tupo pamoja na Nabii Mwingira
Muliro acha kupaniki, soma PGO
Sasa wewe na Mulilo nani anaonekana amepanic maana wewe umeonyesha kuwa vyovyote iwavyo wewe ni mdiniNimemsikiliza Jumanne Muliro
Naona kama amepaniki na tayari anahukumu badala ya kuonesha nia ya kufahamu ukweli anapomwita Askofu Mwingira kufika polisi kufanya mahojiano juu ya kauli yake. Anaonesha wazi kubeba hisia kama si za kidini basi za kujipendekeza kwa wenye mamlaka kama ilivyo kawaida yake.
Hawa akina Muliro, Simon Sirro, Camilius Wambura na akina Kingai ni mapolisi wa kujipendekeza pendekeza tu hawana weledi wowote
Ni hivyo hivyo huwa anapaniki Simon Sirro kila anapoulizwa nani alimpiga Tundu Lissu risasi, huwa anahamaki kwa sababu anafahamu mwenye amri ya kuwaondoa Polisi kwenye geti la makazi ya viongozi wa serikali ni yeye mwenyewe, he has blood in his hands
Sasa Muliro ashughulike na hili swala kwa utulivu tu; afahamu kwamba iwe kweli ama si kweli sisi wa Imani isiyo sawa na ya kwake tupo pamoja na Nabii Mwingira
Muliro acha kupaniki, soma PGO
Kile chuo kinachogawa PhD hakijamwona huyu waziri na maigizo yake? Kingempa naye PhDHakuna suala la imani hapo aliyempa maagaizo ni Kondakta George Simbachawene wa imani yako
Ujinga wa udini mtaacha lini?
Mwingira siyo Askofu wala mchungaji. Anajiita nabii na mtume. hata sjui unabii na utume huo alipewa au kusimikwa na nani! Baada ya kuona amewanyoosha waumini wake malimbuko ya kutosha sasa anajipachika vyeo vya unabii na utume! Lakini sishangai kwani hata biblia imeandika juu ya manabii wajao!Jumanne Murilo asilete udini wake
Akome na akome kuwasumbua Maaskofu (wachungaji)
Kitampa vipi PhD wakati wewe hata certificate ya kufagia ofisi na kutunza kumbukumbu za ofisi huna! Ni bora wangekufikiria wewe kwanza upate certificate hiyo!Kile chuo kinachogawa PhD hakijamwona huyu waziri na maigizo yake? Kingempa naye PhD
Umeelewa kuhusu nilichoandika ama umelewa? Nisome vizuri basi ndugu wa LionChawene naona umekurupuka.Kitampa vipi PhD wakati wewe hata certificate ya kufagia ofisi na kutunza kumbukumbu za ofisi huna! Ni bora wangekufikiria wewe kwanza upate certificate hiyo!
haya mengi yapoyapo tu.....hayanaga weledi...wala kutumia akili....na elimu ya kipolisiNimemsikiliza Jumanne Muliro
Naona kama amepaniki na tayari anahukumu badala ya kuonesha nia ya kufahamu ukweli anapomwita Askofu Mwingira kufika polisi kufanya mahojiano juu ya kauli yake. Anaonesha wazi kubeba hisia kama si za kidini basi za kujipendekeza kwa wenye mamlaka kama ilivyo kawaida yake.
Hawa akina Muliro, Simon Sirro, Camilius Wambura na akina Kingai ni mapolisi wa kujipendekeza pendekeza tu hawana weledi wowote
Ni hivyo hivyo huwa anapaniki Simon Sirro kila anapoulizwa nani alimpiga Tundu Lissu risasi, huwa anahamaki kwa sababu anafahamu mwenye amri ya kuwaondoa Polisi kwenye geti la makazi ya viongozi wa serikali ni yeye mwenyewe, he has blood in his hands
Sasa Muliro ashughulike na hili swala kwa utulivu tu; afahamu kwamba iwe kweli ama si kweli sisi wa Imani isiyo sawa na ya kwake tupo pamoja na Nabii Mwingira
Muliro acha kupaniki, soma PGO
Hivi elimu ya kipolisi ikoje?haya mengi yapoyapo tu.....hayanaga weledi...wala kutumia akili....na elimu ya kipolisi