Jumanne Muliro ahamishiwa Kanda Maalum Dar. Kamanda Gilles Muroto astaafu

Sasa mbona alipewa u RPC Dodoma!? Au alitumwa kufanya hiyo skendo!?
Si ajabu naye alikuwa na godfather maana kuepushwa skendo kufumuka alipelekwa Manyara/Kiteto halafu huko Kagera mpaka mambo yakapoa.
 
Huyu Miruto alisha kula na burst. Alidanganya sana umri wake. Naona sasa aibu zimewafika wakaona hawana budi.
Tumkaribishe uraiani yale maigizo yake atayaona YouTube.
 
Huyu Miruto alisha kula na burst. Alidanganya sana umri wake. Naona sasa aibu zimewafika wakaona hawana budi.
Tumkaribishe uraiani yale maigizo yake atayaona YouTube.
Hahahaaaa...... Umenikumbusha kibabu Sadifa wa UVCCM!
 

Yes Vyuma vinaendelea tu ,Mwingine kala Chuma Jana....Big Up RPC Shy Town.

Your browser is not able to play this audio.
 
Huyu Muliro si ndio alikuwa RPC wa Kinondoni wakati wa kifo cha Akwilina.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…