Kitoko kilinishindaa tokea UG maana ndo nimevijulia kulee. Vinakuwa kama vitamu hivii.Karibu pande hizi tupate Vitoko [emoji847][emoji847]
Hahahaha sema ukila,ukishibaa vizurii freshNitaijaribu na hiyo.
Juzi nilikunywa gongo ile ya kupika mtoni ilikuwa poa sana..
Sijui wanawekaga Nini!ukitupia kimoja unachangamka kikianza kukata unapiga kingineHahahahahahahahaaahahahahha aisee nihataa sana. Vina weza kukuaibishaa mimi juzii jamaa nilikuwa sehemuu nikaona wadau wana gongaa nax a.k.a banana na mimi nikaliunga kwa siku mbiliii leoo ndo najiona afadhaliiii.
Unaweza kuwa chizii usipo angalia. Inabidi mtu una pumzikaa hata mwezii au miezii kidogo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ndo najiapizaa hapa kuwa saizi nimekoma. Maana wengee balaa ni jasho kila,dakika.Sijui wanawekaga Nini!ukitupia kimoja unachangamka kikianza kukata unapiga kingine
Alafu ukute haujala umekula wali maarage
Kesho ukiamka ukishika kijiko Cha supu mkono unatetemeka full kutaapika wenge la hatari
Hata job huendi unalala tu uku ukiapa upigi tena
Ikipita wiki unarudia tena
🤪🤪🤪 labda unakuwa umekunywa mtetemesho mkuu..maana si kwa kutetemeka huko😝😝Sijui wanawekaga Nini!ukitupia kimoja unachangamka kikianza kukata unapiga kingine
Alafu ukute haujala umekula wali maarage
Kesho ukiamka ukishika kijiko Cha supu mkono unatetemeka full kutaapika wenge la hatari
Hata job huendi unalala tu uku ukiapa upigi tena
Ikipita wiki unarudia tena
🤭 Duh nilifikiri ni mwenyeji wa kaskazini.Haya siku njema.Mimi ni wa lindi huku mkuu.
Inatokea hasa pale kama hujala na maji yame pungua mwilinii[emoji2957][emoji2957][emoji2957] labda unakuwa umekunywa mtetemesho mkuu..maana si kwa kutetemeka huko[emoji13][emoji13]
Chukua tangawizi isage pamoja na ndizi mbivu na mtindi wa baridi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ndo najiapizaa hapa kuwa saizi nimekoma. Maana wengee balaa ni jasho kila,dakika.
Vina sukari kali sana pamoja na harufu sijui ni ya zabibu 😆Kitoko kilinishindaa tokea UG maana ndo nimevijulia kulee. Vinakuwa kama vitamu hivii.